Mke wangu vitendo ulivyomfanyia Mama yangu sitosahau kamwe

Wakuu wa ndoa mmekuja.kimkakati eeh?, any way mbona umeshangaa sana mkeo kumjali mama yako ina maana sio jambo la kawaida huko kwenye ndoa?.

Ila Bro mbadilishie mama yetu maisha hapo kijijini, sio fahari kumuacha mama anateseka kijijini kaka.
Mambo mema yapo tena mengi tu, watu hawataki kuyaongelea...ila yapo na watu wanayaishi.
 
Nakiri kusema Kwa furaha hio ya mama utabarikiwa maradufu
Nilipoona tittle ya thread nikajua ni mambo ya kutisha atakua amefanya kumbe jambo la heri
Ameeni ameeni Mtumishi
 
Hongera Mwanetu.
Toa tips wanao wapone mana daily wanavamia michongoma.
Huku nje vilio vingiii
 
Wanaume kweli tuna kazi, watoto mnawaalika mama zenu tu then sisi baba zenu mnatuacha vijijini...mnadhani sisi baba zenu hatupendi kunawili eeeh?

Nilijipinda kukusomesha, Kwa kujinyima sanaaa, ila wakati wa kula bata unamwita mama yako pekee, then mimi mumeniacha kijijini...[emoji34][emoji34][emoji34][emoji34]
 
Hehehe......najua umeandika utani. Lakini hii iwaendee wazee wa Kata ndoa ambao wao kazi yao ni Kuzaa watoto nje ya ndoa na kuwatekeleza. Harafu wakizeeka wanataka na wao waitwe mjini na Wanao.

Ukiwa mzazi hukumtunza mwanao kwa hali na mali usitegemee fadhila uzeeni
 
Hongera kwa kupata mke mwema.

Kabadilishe mazingira ya mama asije onea mjini vingine kama hivyo.

Asante kwa ku share.
Ni kweli mkuu ni hatua kwa hatua kwa kadiri Mungu atakavyotujalia
 
Wakuu wa ndoa mmekuja.kimkakati eeh?, any way mbona umeshangaa sana mkeo kumjali mama yako ina maana sio jambo la kawaida huko kwenye ndoa?.

Ila Bro mbadilishie mama yetu maisha hapo kijijini, sio fahari kumuacha mama anateseka kijijini kaka.
Tunaanza kidogo kidogo Kadiri ya uwezo. Insha Allah
 
😅😅
Nilimtumia mke wangu laki 2 wagawane laki laki na mama angu,wife akampa elfu 80 kakata 20 na wakati maza alikua anaenda hospital..ukibahatisha mke mwenye akiri kama wako ishi nae vizuri
👏👏👏ameen
 
Vizuri umejua wapi mkeo ana fit na umempa kazi ya kupaweka sawa...

Una babati mkuu japo mke wangu hana shida sana kwa wageni lakini Hawezi kufikia ukarimu wa mke wako..

Wenye bahati mtunze wake zenu vizuri maana hiyo ni tunu.
Na mimi najitahidi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…