gobore
JF-Expert Member
- Aug 17, 2009
- 715
- 352
hahaha, mi namshauri wakafanye sup ya mafundisho ya ndoa. Mweeh, tembea ujionee. Bushoke ana nafuu aisee.
Huyu jamaa yeye ndio ana matatizo, sio mwanamke. Mwanamke kafanya hayo baada ya kuona udhaifu wa huyu "mumewe"