Mke wangu wa ndoa kapewa Mimba na mtu mwingine

Mke wangu wa ndoa kapewa Mimba na mtu mwingine

hahaha, mi namshauri wakafanye sup ya mafundisho ya ndoa. Mweeh, tembea ujionee. Bushoke ana nafuu aisee.

Huyu jamaa yeye ndio ana matatizo, sio mwanamke. Mwanamke kafanya hayo baada ya kuona udhaifu wa huyu "mumewe"
 
!!! Duh! Mkuu trigger!
Unasubiri nini, huyo mwanamke hana tofauti na kiti (seat) ya daladala.
"achana naye' yeye hakupendi, kwako anaitaji matumizi tu"
mtoto akisha kua unapigwa BAN ya maisha "kalabagao na ushamba wako"
 
hahaha, mi namshauri wakafanye sup ya mafundisho ya ndoa. Mweeh, tembea ujionee. Bushoke ana nafuu aisee.
Kitendo cha mwanamke kukataa kuja nilipo, biashara inaishia hapohapo, hataki kuja kwako maana yake watu wanakula mzigo hakukuwa na ulazima wa kusubiri apewe mimba.
 
Anaomba ushauri kama anaweza kumuacha na kuoa mwingine kwa sababu alifunga ndoa ya kikristo


Mimi sipendezewi na Wanawake wa namna ya huyo mke wake hebu mwambieni AACHANE nae Biblia inasema Talaka inatokana na kosa la ZINAA
yeye anachojipendekeza sikioni

au ngoja nimwambie
@trigger huyo mtu achana nae usiwaogope Mapadri wala Wachunguji tena km nyumba ni yako mtimue amfuate huyo jamaa yake, mm haya yametokea kwa mdogo wangu wa kiume kweli yanatia Uchungu na ni DOA katika maisha yako
 
hii sio ndoa. Mwanamke anagoma kukufuata, na hamuwezi kuonana, umo tuuu!. Na anahama haujui kahamia wapi. Still unaita mke? Miujiza ya dunia ya tat
Huyu hata matumizi kwa mkewe alikuwa hatoi. Ukimpa matumizi mwanamke na kuangalia affairs zake hata akikucheat anacheat kwa.woga!

mtoa mada, hivi hata kodi ya nyumba ulikuwa unajua inapotokea? Manake ukute mimba ni ya mfadhili?

Kila kitu mwanzon alikuwa anapata mahitaj yote ya mke nilisitisha nilipothibitisha ana mimba isiyo yangu
 
hii sio ndoa. Mwanamke anagoma kukufuata, na hamuwezi kuonana, umo tuuu!. Na anahama haujui kahamia wapi. Still unaita mke? Miujiza ya dunia ya tatu?
Huyu hata matumizi kwa mkewe alikuwa hatoi. Ukimpa matumizi mwanamke na kuangalia affairs zake hata akikucheat anacheat kwa.woga!

mtoa mada, hivi hata kodi ya nyumba ulikuwa unajua inapotokea? Manake ukute mimba ni ya mfadhili?

Hapo kwenye red ni muhimu tujue kwa kweli
 
Kila kitu mwanzon alikuwa anapata mahitaj yote ya mke nilisitisha nilipothibitisha ana mimba isiyo yangu

Sasa wewe mdogo wangu, bado unajiona kwamba una mke na unweza kutoka naye ukiwa na konfo 100%?
 
Dah mpaka inafikia hatua hiyo, nahisi kuna vitu vingi umekosea wewe kama mume. Pia nahisi kuna vitu unatuficha hapa. There is more than what meet the eye.
Ushauri wa haraka, kaa pembeni jipime wewe kwanza

Gobore kikubwa hapo labda kama alikosa uvumilivu wakat mie nimekosa likizo kazin kwa huo muda wa miaka 3 na huduma ya kimwili japo kila nikwambia yeye anifuate mkoan alikuwa anakatAa
 
King'asti nachoomba ushauri je naweza oa kwa ndoa tena kwa hyo scenario

Mkuu huwezi kufunga ndoa mpaka umuache huyo mwanamke na kwa mujibu wa bible unaweza kumuacha kwa kipengele cha uesharati.

Kama ukijidanganya na ukamrudia huyo mwanamke aliyekufanyia vitimbi jua kabisa umekaribisha msongo wa mawazo katika akili yako bila sababu za msingi.

Achana na mambo ooooooh sijui karudisha moyo na ninapewa updates kama mtoto ni wa kwangu. Wewe unajua kwa nini anafanya hayo na kwa nini alikutenda bila huruma.

Pamoja na yote lakini nawewe unaonekana siyo mwanaume thabiti mpaka kutokana ma story uliyoileta inavyoonyesha. Mwaka mzima huna uhusiano na mkeo na bado hukitafuta suluhu!!
 
hii sio ndoa. Mwanamke anagoma kukufuata, na hamuwezi kuonana, umo tuuu!. Na anahama haujui kahamia wapi. Still unaita mke? Miujiza ya dunia ya tatu?
Huyu hata matumizi kwa mkewe alikuwa hatoi. Ukimpa matumizi mwanamke na kuangalia affairs zake hata akikucheat anacheat kwa.woga!

mtoa mada, hivi hata kodi ya nyumba ulikuwa unajua inapotokea? Manake ukute mimba ni ya mfadhili?

Kila ktu alipata kodi nililipa na mpaka gar nikamnunulia
 
Sasa wewe mdogo wangu, bado unajiona kwamba una mke na unweza kutoka naye ukiwa na konfo 100%?

Yaani kuna mambo mengine kama yanachekesha vile!! Binafsi akili hii nashindwa kuitofautisha na lile group la 60.0% la mwaka huu.
 
Yaani una tatizo mbele ya yako na unawaza kuoa. Tayari unaye mtu wa kuoa? Manake naona unataka kuingia mkenge mwingine fasta fasta!
King'asti nachoomba ushauri je naweza oa kwa ndoa tena kwa hyo scenario


Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Kila kitu alichotaka alipata na kodi alilipiwa na top of that na gar nilimnunulia

Sasa kama yote haya umemfanyia kwa nini awe na kiburi kwako? Ni lazima alikuona una mapungufu fulani ndiyo maana akawa anakuchezea na sasa anataka kukuchezea tena maana anajua utamlelea mtoto wake kama ambavyo ulikuwa ukimhudumia kipindi chote bila yeye kukujali kama mumewe!

Stuka kaa mbali na huyo malaya.
 
sikujua kama kuwa mzazi ni taabu kiasi hiki....!


hivi mtu anaweza kutamka kwamba bado ana mke na kuna ndoa?

halafu mwanamume gani unakaa mwaka mzima bila kuonana na mkeo? Hiyo ni kazi gani na wanalipa dola ngapi mbazo ni zaidi ya mkeo?

hahaha, babu kama ni mwanao anakuja na hadithi kama hii unampiga teke la hapo kati kwanza kuongeza uzalishaji mbegu! Huwezi amini katokea kwenye viuno vyako eeh?
Siku hizi kuwa mzazi ni wito aisee, wito wa kuogopesha kuliko kuwa Pope!
 
sikujua kama kuwa mzazi ni taabu kiasi hiki....!


hivi mtu anaweza kutamka kwamba bado ana mke na kuna ndoa?

halafu mwanamume gani unakaa mwaka mzima bila kuonana na mkeo? Hiyo ni kazi gani na wanalipa dola ngapi mbazo ni zaidi ya mkeo?

Kuna kazi nafanya sasa we had shortage ya wafanya kaz wakawa wanacarry dayz kwamba nikienda likizo ntapata zote
 
Back
Top Bottom