hahaha, mi namshauri wakafanye sup ya mafundisho ya ndoa. Mweeh, tembea ujionee. Bushoke ana nafuu aisee.
Kitendo cha mwanamke kukataa kuja nilipo, biashara inaishia hapohapo, hataki kuja kwako maana yake watu wanakula mzigo hakukuwa na ulazima wa kusubiri apewe mimba.hahaha, mi namshauri wakafanye sup ya mafundisho ya ndoa. Mweeh, tembea ujionee. Bushoke ana nafuu aisee.
Anaomba ushauri kama anaweza kumuacha na kuoa mwingine kwa sababu alifunga ndoa ya kikristo
hii sio ndoa. Mwanamke anagoma kukufuata, na hamuwezi kuonana, umo tuuu!. Na anahama haujui kahamia wapi. Still unaita mke? Miujiza ya dunia ya tat
Huyu hata matumizi kwa mkewe alikuwa hatoi. Ukimpa matumizi mwanamke na kuangalia affairs zake hata akikucheat anacheat kwa.woga!
mtoa mada, hivi hata kodi ya nyumba ulikuwa unajua inapotokea? Manake ukute mimba ni ya mfadhili?
hii sio ndoa. Mwanamke anagoma kukufuata, na hamuwezi kuonana, umo tuuu!. Na anahama haujui kahamia wapi. Still unaita mke? Miujiza ya dunia ya tatu?
Huyu hata matumizi kwa mkewe alikuwa hatoi. Ukimpa matumizi mwanamke na kuangalia affairs zake hata akikucheat anacheat kwa.woga!
mtoa mada, hivi hata kodi ya nyumba ulikuwa unajua inapotokea? Manake ukute mimba ni ya mfadhili?
Kila kitu mwanzon alikuwa anapata mahitaj yote ya mke nilisitisha nilipothibitisha ana mimba isiyo yangu
Hapo kwenye red ni muhimu tujue kwa kweli
Dah mpaka inafikia hatua hiyo, nahisi kuna vitu vingi umekosea wewe kama mume. Pia nahisi kuna vitu unatuficha hapa. There is more than what meet the eye.
Ushauri wa haraka, kaa pembeni jipime wewe kwanza
King'asti nachoomba ushauri je naweza oa kwa ndoa tena kwa hyo scenario
Kwa hali yoyote ila, hii ndoa ilishazikwa long time!
hii sio ndoa. Mwanamke anagoma kukufuata, na hamuwezi kuonana, umo tuuu!. Na anahama haujui kahamia wapi. Still unaita mke? Miujiza ya dunia ya tatu?
Huyu hata matumizi kwa mkewe alikuwa hatoi. Ukimpa matumizi mwanamke na kuangalia affairs zake hata akikucheat anacheat kwa.woga!
mtoa mada, hivi hata kodi ya nyumba ulikuwa unajua inapotokea? Manake ukute mimba ni ya mfadhili?
Hapo kwenye red ni muhimu tujue kwa kweli
Sasa wewe mdogo wangu, bado unajiona kwamba una mke na unweza kutoka naye ukiwa na konfo 100%?
King'asti nachoomba ushauri je naweza oa kwa ndoa tena kwa hyo scenario
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Kila ktu alipata kodi nililipa na mpaka gar nikamnunulia
Kila kitu alichotaka alipata na kodi alilipiwa na top of that na gar nilimnunulia
Kila kitu alichotaka alipata na kodi alilipiwa na top of that na gar nilimnunulia
sikujua kama kuwa mzazi ni taabu kiasi hiki....!
hivi mtu anaweza kutamka kwamba bado ana mke na kuna ndoa?
halafu mwanamume gani unakaa mwaka mzima bila kuonana na mkeo? Hiyo ni kazi gani na wanalipa dola ngapi mbazo ni zaidi ya mkeo?
sikujua kama kuwa mzazi ni taabu kiasi hiki....!
hivi mtu anaweza kutamka kwamba bado ana mke na kuna ndoa?
halafu mwanamume gani unakaa mwaka mzima bila kuonana na mkeo? Hiyo ni kazi gani na wanalipa dola ngapi mbazo ni zaidi ya mkeo?