majorbanks
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 228
- 66
Mkuu umemaliza form four 2012 nini??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gobore kikubwa hapo labda kama alikosa uvumilivu wakat mie nimekosa likizo kazin kwa huo muda wa miaka 3 na huduma ya kimwili japo kila nikwambia yeye anifuate mkoan alikuwa anakatAa
Kuna kazi nafanya sasa we had shortage ya wafanya kaz wakawa wanacarry dayz kwamba nikienda likizo ntapata zote
Kwa maelezo yako, naona bado unampenda "mkeo"...lol!
uswasisikilize tena Hawa watu wa JF, wanataka kukuvunjia ndoa mdogo wangu !
hahaha, babu kama ni mwanao anakuja na hadithi kama hii unampiga teke la hapo kati kwanza kuongeza uzalishaji mbegu! Huwezi amini katokea kwenye viuno vyako eeh?
Siku hizi kuwa mzazi ni wito aisee, wito wa kuogopesha kuliko kuwa Pope!
Mkuu umemaliza form four 2012 nini??
Mwee..babu jamani..asamehe 7x70 si eti eeeh
Kila kitu mwanzon alikuwa anapata mahitaj yote ya mke nilisitisha nilipothibitisha ana mimba isiyo yangu
No comment.
Msamaha sio lazima uambiwe 'darling Iam sorry'.Siku hiyo kama ni bibi utaona tu hata glory ni kama siku ya honeymoonKwani tumeambiwa kuwa kuna mtu ameomba msamaha?
halafu muda si mrefu tutaulizwa kama kuna haja ya kufanya DNA test...lol"
Msamaha sio lazima uambiwe 'darling Iam sorry'.Siku hiyo kama ni bibi utaona tu hata glory ni kama siku ya honeymoon
Kuombana msamaha katika issu kama hii ni sawa na kukimbiza maiti ICU! Itasaidia kitu?
Nadhani mleta hoja amekuelewa