DR SANTOS
JF-Expert Member
- Mar 11, 2019
- 12,846
- 28,106
Picha?, Weka namba ya mke wa kwanzaKusema kweli sikuwahi kuzungumzia maisha yangu humu JF hususani mambo ya ndoa ila naomba nishare nanyi hili jambo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Picha?, Weka namba ya mke wa kwanzaKusema kweli sikuwahi kuzungumzia maisha yangu humu JF hususani mambo ya ndoa ila naomba nishare nanyi hili jambo.
Nyumba niliiona kama kuzimu, sikuwahi kumdhania mwanzo kipindi najuana nae alikuwa kondoo kavaa ngozi ya chui. Baada ya kumuoa ndo nilianza kushuhudia rangi yake, muda wote ni kukasirika, gubu, kiburi kugombana muda wote na wivu wa kijinga.[emoji2827]Kusema kweli sikuwahi kuzungumzia maisha yangu humu JF hususani mambo ya ndoa ila naomba nishare nanyi hili jambo.
Aina ya mwanamke huamua aina ya mafanikio
Tena mchaga utakuta kajenga kwa siri kabisa 🤣🤣🤣Wanawake ni wale wale, utakuja lia twna hapa
Ndoa ni kama kubet tu. Unabet mara ya kwanza. Ukiliwa hutakiwi kukata tamaa. Unaweka mkeka mwingine unabet. You just keep trying mpk mkeka utiki. Kuna mwingine unamuoa sio chagua la Mungu ni tamaa zetu.Kusema kweli sikuwahi kuzungumzia maisha yangu humu JF hususani mambo ya ndoa ila naomba nishare nanyi hili jambo.
Niliwahi kuwa na ndoa ya kwanza lakini mke wangu wa kwanza alikuwa pasua kichwa balaa, ana gubu, kiburi, na mdomo sana, ilikuwa inafika mahali naona hata sio busara kurudi nyumbani mapema.
Though jipe muda kwanza mkuu, ni mapema kumwaga sifa zote hizo kwa mkeo mpya, Wanawake huwa wanajifahamu wenyewe, Muombe Mungu aishike ndoa yako hiyo idumu mpaka mzeeshane.Kusema kweli sikuwahi kuzungumzia maisha yangu humu JF hususani mambo ya ndoa ila naomba nishare nanyi hili jambo.
Niliwahi kuwa na ndoa ya kwanza lakini mke wangu wa kwanza alikuwa pasua kichwa balaa, ana gubu, kiburi, na mdomo
UKimpata mimi nitakua kamati ya vinywaji brooNa mimi natafuta mchumba aisee
Nitajaza mapipa ya maji, nimtafute nabii mmoja aje kutenda muujiza kama ule uliofanyika katika harusi ya Kana ya GalilayaUKimpata mimi nitakua kamati ya vinywaji broo
Duuh pole sana wanawake sijui tunakwama wapi 2years ya ndoa na unahama chumba!!!! [emoji15]Though jipe muda kwanza mkuu, ni mapema kumwaga sifa zote hizo kwa mkeo mpya, Wanawake huwa wanajifahamu wenyewe, Muombe Mungu aishike ndoa yako hiyo idumu mpaka mzeeshane.
Hata mimi Nina Experience hiyohiyo..Mwanamke haridhiki, ni hasira, visasi, Gubu, Matamko, Vitisho, anatishia kujimaliza, anaona anaonewa kisa wazazi wake waliisha kufa.
Mwaka Jana mwezi wa sensa, huyu mama alipasua kishikwambi cha Sensa kisa visa visivyokuwa na kichwa wala miguu, nusura nifungwe na serikali ila nikaponea chupuchupu..ananuna anahama chumba mwezi mzima, yaani lol, nmempisha sasa na nitaishi mwenyewe wakati nikitafakari maamuzi gani magumu na ya busara nichukue..
Nimeamua kusonga mbele, simtaki tena..nina miaka 2 kasoro naye kwenye ndoa tena ya kanisani lkn nmegundua nmeoa mpagani asiye na hofu yeyote kuhusu Mungu na mume, ngoja ampate mwingine labda watachukuliana mizigo.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Tena mchaga utakuta kajenga kwa siri kabisa 🤣🤣🤣
Nakazia📌Story ya upande mmoja na umeongeza chumvi nyingi kumnanga x wako. Mwanamke hata awe na kiburi kikubwa hakuna ndugu anayeweza kumuogopa zaidi ya kumdharau.
Kama shoo yake ni poor,ataoa mpaka amalize Dunia nzima
Mwanamke asiye nyooshwa vizuri Huwa full time ni misonyo tuuuuuYaani jibu lipo hapa
Hizo tabia ni Za mwanamke asiyekazwa vizuri
Point takenStory ya upande mmoja na umeongeza chumvi nyingi kumnanga x wako. Mwanamke hata awe na kiburi kikubwa hakuna ndugu anayeweza kumuogopa zaidi ya kumdharau.
Ukutane na mwanamke wa arusha aliyesoma soma na kafanya kazi NGO’s. Unaweza jikuta unapiga kuua.