mzalendo namba moja
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 537
- 837
Yaaani, wakiishakuwa certified na vyeti vya ndoa wengi huona wamemaliza kila kitu.Duuh pole sana wanawake sijui tunakwama wapi 2years ya ndoa na unahama chumba!!!! [emoji15]
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app