Mke - Waziri Mkuu anahitajika kuisimamia serikali vema

Tatizo member mpya.
 
Mahii
Hiyo title nimeshtuka,, nikajiuliza ndo tunafunga mwaka na majukwaa ya siasa?

Rais atuwekee picha embu 😂 au achambur hicho kibarua cha public sekta. Wengine mahi tulishajiambia hatutaki wa hospitali
We unachagua mume kwa kuangalia picha / au potentialities aliyo nayo huyo mume wako tarajali? Come this way bana mie nimechoka upweke
 
Huh!! Nikajua ni uzi wa kutuchamba tena!!

Mkuu wewe hukuhudhuria kikao? Kikao kilikubaliana kukataa ndoa.
 
Huh!! Nikajua ni uzi wa kutuchamba tena!!

Mkuu wewe hukuhudhuria kikao? Kikao kilikubaliana kukataa ndoa.
Hahahah nilikuwa na udhuru siku hiyo hata hivyo napingana na wajumbe wa kikao🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…