Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaweka ngapi? Tuanzie hapo sio unaweka ten unataka m100 utakuwa fisadi wa ccm kibanda cha m1 unasema m30Dah...
Asee mi napigika mpaka leo sijashila Milion 50.
Jamaa kalamba 164milion.
Nachoka ujue[emoji23][emoji23][emoji23]
Fanya hivi... Belgium, Brazil, England, France, Portugal, Argentina, Netherlands, Wales, hizo zitashinda game mbili za mwanzo kombe la dunia... RiskDah...
Asee mi napigika mpaka leo sijashila Milion 50.
Jamaa kalamba 164milion.
Nachoka ujue[emoji23][emoji23][emoji23]
8000Kaweka ngapi? Tuanzie hapo sio unaweka ten unataka m100 utakuwa fisadi wa ccm kibanda cha m1 unasema m30
Tusubiri muda, utanikumbusha, ila nasema hulo jambo ni gumh mnoo, kuliko ngamiia kupenya tundu ya sindano.Fanya hivi... Belgium, Brazil, England, France, Portugal, Argentina, Netherlands, Wales, hizo zitashinda game mbili za mwanzo kombe la dunia... Risk
Duuuhhh.Fanya hivi... Belgium, Brazil, England, France, Portugal, Argentina, Netherlands, Wales, hizo zitashinda game mbili za mwanzo kombe la dunia... Risk
ata game ya 14 kaweka win 2 wakat aliyeshinda ni wa nyumban labda ali Cash out.Mbona kuna mechi hapo kachagua win 2 halafu inatoka 4-0 kama mechi ya 4 na 7 hii imekaaje ndugu mkamaria
premier betting mwisho 112milionNi kampuni gani hiyo inaruhusu mkeka mmoja Hadi mil 140? Kampuni nyingi Kama sio zote mwisho huwa around mil 30 kwa mkeka mmoja
Mbona kuna mechi hapo kachagua win 2 halafu inatoka 4-0 kama mechi ya 4 na 7 hii imekaaje ndugu mkamaria
Haya njoo pm sasa tupange matumizi