Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Nisijiamini kwasababu gani??? Game ya nne 1*2 kaipa 2 result ft 3:0 hebu nieleweshe hii huenda sielewi... Mi nadhani ilitakiwa iwe 0:3 na sio 3:0Umeandika kwa kujiamini sana.. hamna kilichokosewa apo, game ziko juu results zipo chini, Pitia tena