General Nguli
JF-Expert Member
- Apr 22, 2022
- 1,190
- 2,508
Basi mkuu kuna pipo zina tengeneza pesa balaa huku wanakula Wine tuuDogo unadhani hela inatokaga kirahis kihivyo? Ndo maana majambazi wanatumia chuma vitu vinavyotema vitu vyenye ncha Kali na butu ukipress tu vitu vinaruka hewani kwa kas ya ajabu.
Mzungu hajakariri kasoma na kuelewa