Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Kwema Wakuu!
Nilikuwa napitia majina ya Ndugu zetu waliopewa nafasi za Ukuu WA wilaya. Kwa kweli mkeka upo vizuri Kwa sehemu kubwa
Nawapongeza wote Mliopewa Nafasi hizo. Pia nampongeza Mhe. Rais, Samia Suluhu Kwa kuweza kujitahidi kuwaona hawa.
Ila neno moja Kwa wateuliwa;
Achaneni na Yale mambo ya kujigeuza Miungu watu, ninyi ni. Watu Kama watu wengine. Tumikieni wananchi,
Mikwala na ubabe wa kipuuzi msije mkathubutu kujiingiza.
Maana awamu iliyopita kuna baadhi ya viongozi walijigeuza mabolizozo na kutoa matamko ya hovyo.
Heshima yenu haipo kwenye kutishia watu bali heshima yenu ipo katika kuwatumikia Wananchi.
Mjifunze Kwa Dada Jokate, au Mkuu wa Mkoa WA Dodoma, Anthony Mtaka.
Au mkishindwa huko basi jifunzeni Kwa Rais Samia Suluhu.
Ubolizozo na maneno ya ubabe wa ulimbukeni havitawajengea heshima isipokuwa chuki na vinyongo visivyo na maana yoyote.
Kuna Kaka yangu, Gondwe, nawe ujirekebishe, niliona baadhi ya Clip zako, ambazo ulikuwa ukifoka foka pasipo utulivu na usikivu.
Kiongozi ni pamoja na usikivu.
Showoff na Makamera meng alafu kazi kidunchu muziepuke.
Mhe. Rais nadhani na napendekeza aendelee kuteua watu wasio Wanafiki.
Mtu asiyeweza kukukosoa basi hawezi kukushauri
Ijenge nchi yako.
Kuwa mzalendo.
Nilikuwa napitia majina ya Ndugu zetu waliopewa nafasi za Ukuu WA wilaya. Kwa kweli mkeka upo vizuri Kwa sehemu kubwa
Nawapongeza wote Mliopewa Nafasi hizo. Pia nampongeza Mhe. Rais, Samia Suluhu Kwa kuweza kujitahidi kuwaona hawa.
Ila neno moja Kwa wateuliwa;
Achaneni na Yale mambo ya kujigeuza Miungu watu, ninyi ni. Watu Kama watu wengine. Tumikieni wananchi,
Mikwala na ubabe wa kipuuzi msije mkathubutu kujiingiza.
Maana awamu iliyopita kuna baadhi ya viongozi walijigeuza mabolizozo na kutoa matamko ya hovyo.
Heshima yenu haipo kwenye kutishia watu bali heshima yenu ipo katika kuwatumikia Wananchi.
Mjifunze Kwa Dada Jokate, au Mkuu wa Mkoa WA Dodoma, Anthony Mtaka.
Au mkishindwa huko basi jifunzeni Kwa Rais Samia Suluhu.
Ubolizozo na maneno ya ubabe wa ulimbukeni havitawajengea heshima isipokuwa chuki na vinyongo visivyo na maana yoyote.
Kuna Kaka yangu, Gondwe, nawe ujirekebishe, niliona baadhi ya Clip zako, ambazo ulikuwa ukifoka foka pasipo utulivu na usikivu.
Kiongozi ni pamoja na usikivu.
Showoff na Makamera meng alafu kazi kidunchu muziepuke.
Mhe. Rais nadhani na napendekeza aendelee kuteua watu wasio Wanafiki.
Mtu asiyeweza kukukosoa basi hawezi kukushauri
Ijenge nchi yako.
Kuwa mzalendo.