Mkemia Mkuu: Mkojo wa Wema Sepetu ulikuwa na bangi

Mbona hata mimi natumia bang au kwakuwa wema ni msanii na mimi ni mwananchi wa kawaida to
 
Huko ni kukomoana ila ipo siku mwisho wa ubaya utafika na huwa ni aibuuuu
 
Toka wajue kupima mkojo imekua tabhhhuuuu thuphuuuuu
 
Ngoja nipite mie nisije nikapelekwa Lab [emoji436] .
 
Wakili: Shahidi, wewe kama mkemia bangi ina madhara gani kwa binadamu?

Shahidi: Bangi inasababisha mtumiaji kupata ulevi ambao hauwezi kutibika na husababisha mtumiaji kuharibikiwa akili
 
Hata na yule jamaa alie kataa kuchukuliwa aliogopa kugundulikaaaa.

Xafi xaaana serikali ya awamu ya tano kwa umakini muliotuonesheaaaa
We ni punguani mkemia ni kitengo cha serikali na Polisi walomuwekea wema bangi ni kitengo cha serikali huku serikali ikiwa ni bashite aliyeshikilia kichwa cha sisonje, bashite ie serikali ndye aliyeamuru wema akamatwe na apimwe mkojo, naamini siku moja mahakama ya dunia itatoa kibali sisonje, NASEMA TENA SISONJE apimwe mkojo ndo watanzania mtashangaa kiasi cha ubongo wake kilivyoharibiwa na unga cha sisonje kama tu maneno ya lema 2018 hayatatimia
 
Hahahahahaha, kweli mkuu
 
Mkemia ilibidi nae apimwe kinyesi maana anaonekana ubongo wake hauko sawa
 
Sasa huo mkojo umekutwa na bangi ya msokoto au puli zima?
 
Hii mikojo ni kweli ya watu hawa? Au ni zengwe? 😱
ni ya kwao Mkuu, ila ujinga waliufanya wenyewe kwanini walikubali kuutoa, kama unajijua hauko vizuri ni bora ugome.
 
Duuh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…