joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwendaa cyo mkenyaa huyu ni msukumaa huyuuu jinga wew unadhani kuna mkenyaa anamuelewaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini unatukana? huwezi jenga hoja bila matusi?. Yeye mwenyewe anasema ni Mkenya.Kwendaa cyo Mkenyaa huyu ni Msukumaa huyuuu, unadhani kuna mkenyaa anamuelewaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo sio mkenya akiwakilisha wakenya Bali ni mixer luo wa Kenya . Anaitwa ATOMI SIFA. Ni msanii wa nyimbo za kujaluo kazi yake ni kuwasifia matajili na wanasiasa mfano kuna nyimbo amewasifia RailaOdinga na hata mbunge wa rorya lameck airo.
Hakuna jipyaa
Kwendaa cyo mkenyaa huyu ni msukumaa huyuuu jinga wew unadhani kuna mkenyaa anamuelewaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu ni Msukuma?Kwendaa cyo mkenyaa huyu ni msukumaa huyuuu jinga wew unadhani kuna mkenyaa anamuelewaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu.Huyo sio mkenya akiwakilisha wakenya Bali ni mixer luo wa Kenya . Anaitwa ATOMI SIFA. Ni msanii wa nyimbo za kujaluo kazi yake ni kuwasifia matajili na wanasiasa mfano kuna nyimbo amewasifia RailaOdinga na hata mbunge wa rorya lameck airo.
Hakuna jipyaa
Kwahiyo akiwasifia Raila na watu wengine anapoteza sifa ya kuwasifia watu wengine anaowaona wanafanya vizuri?.Huyo sio mkenya akiwakilisha wakenya Bali ni mixer luo wa Kenya . Anaitwa ATOMI SIFA. Ni msanii wa nyimbo za kujaluo kazi yake ni kuwasifia matajili na wanasiasa mfano kuna nyimbo amewasifia RailaOdinga na hata mbunge wa rorya lameck airo.
Hakuna jipyaa
Jamaa namjua fika, nilishamuarrest Mara kadhaa mpakani usniulize wapi?
Usisahau na zile kauli za wale jamaa zenu kuisifia Kenya.Kwanini unatukana?, huwezi jenga hoja bila matusi?. Yeye mwenyewe anasema ni mkenya, wewe unakataa kwani ni mume wako?.
Kwani huyu ni mkenya wa kwanza kumsifia Magufuli?, Sonko, Muthama, Prezzoo, na wabunge kadhaa wa Kenya ambao wametoa kauli za kumsifia Magufuli pia sio wakenya?
Sent using Jamii Forums mobile app
Miaka ya 2004 wakija Rorya (Shirati) kiingilio buku 5 na kazi kuwasifia matajiri wa biashara ya samaki miaka ile akina Ongujo, Ochere, Airo nk. Kwa tunaowajua ni kweli njaa kali tu.Huyo sio mkenya akiwakilisha wakenya Bali ni mixer luo wa Kenya . Anaitwa ATOMI SIFA. Ni msanii wa nyimbo za kujaluo kazi yake ni kuwasifia matajili na wanasiasa mfano kuna nyimbo amewasifia RailaOdinga na hata mbunge wa rorya lameck airo.
Hakuna jipyaa
Ni jaluo wa Kenya pureKwendaa cyo mkenyaa huyu ni msukumaa huyuuu jinga wew unadhani kuna mkenyaa anamuelewaa
Sent using Jamii Forums mobile app
LOL Heche yeye bado?Miaka ya 2004 wakija Rorya (Shirati) kiingilio buku 5 na kazi kuwasifia matajiri wa biashara ya samaki miaka ile akina Ongujo, Ochere, Airo nk. Kwa tunaowajua ni kweli njaa kali tu.
Yaani kila anachofanya JPM ni breaking news kule kenya yaani hadi akitania 😂😂😂Ni hivi karibuni nimejua wakenya wanafatilia kila second ya kinachotokea Tanzania kuliko Kenya, talking about literally every single area of what happening or about to happen in Tanzania they have the full details countered.
JPM is the famous man in Kenya before anyone else.