babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 11,632
- 29,912
Ungejua wabongo hawa fahamu huo ujinga wala usinge kuwa unahara hapa.Ukweli mchungu, habari za counties hku wabongo wanazifahamu[emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungejua wabongo hawa fahamu huo ujinga wala usinge kuwa unahara hapa.Ukweli mchungu, habari za counties hku wabongo wanazifahamu[emoji23][emoji23]
Zaidi ya uchaguzi ambao unavutia nchi nyingi kutokana na tabia yenu ya kuchinjana wakati wa uchaguzi, nani tena anazungumza na kufuatilia habari za Kenya? Nchi ya Kenya inagonga vichwa vya habari kutokana na kuchinjana wakati wa uchaguzi pekee.Bwahahaaa!!kuna habari gani ya kenya isiyopenya tz, zaidi mpka uchaguzi wetu mnaufwatilia na kuside[emoji23][emoji23][emoji23]
Kenya kuna habari gani za kufuatiliwa zaidi ya mauaji ya kisiasa, police brutality, terrorist attacks, hunger, locust and tribalism?Hanna watu wanafatilia habari za Kenya kama nyinyi hadi kushinda wakenya wenyewe..mnakesha kwenye media za Kenya 24/7
Ndio Watanzania walivyo watulivu hawana habari na wengine ila ukiwaanza bc wao wanajibu Kwa ubora zaid na kwa umoja zaidi sasa usilalamike mumeyataka wenyeweHanna watu wanafatilia habari za Kenya kama nyinyi hadi kushinda wakenya wenyewe, mnakesha kwenye media za Kenya 24/7
Wataje channel moja tu inayomtangaza UhuruSijawahi kaa kupoteza muda kuangalia media za failed state kwanza Tv yangu haina hata channel moja ya kenya,
Habari za kenya huwa nakutana nazo tu,
Mnamfuatilia JPM utafikiri ni rais wenu yaani kila anachofanya media zenu zinaripoti,
JPM akipost kitu wakenya mnajazana kucomments utafikiri kapost kwa ajili ya nchi yenu [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwanz angetufafanulia maana ya counties of ngekua vizur maana mi hata sielewi kaunti ndio mkoa au manispaaUngejua wabongo hawa fahamu huo ujinga wala usinge kuwa unahara hapa.
Absolutely.Kwanz angetufafanulia maana ya counties of ngekua vizur maana mi hata sielewi kaunti ndio mkoa au manispaa
Bwahaha!!usitumie nguvu nyingi kujitetea, sai kwanza kuna watanzania tayari wanakiri km wanapenda sana kuangalia tv stations za kenya..Zaidi ya uchaguzi ambao unavutia nchi nyingi kutokana na tabia yenu ya kuchinjana wakati wa uchaguzi, nani tena anazungumza na kufuatilia habari za Kenya? Nchi ya Kenya inagonga vichwa vya habari kutokana na kuchinjana wakati wa uchaguzi pekee.
Unapinga nn n ni kweli, ingia katima mitandao yenu ya kijamii...utakuta kenyan news mpka za subcounties hadi nashangaa bana[emoji23][emoji23]Ungejua wabongo hawa fahamu huo ujinga wala usinge kuwa unahara hapa.
Mitandao ipi ya kijamii hiyo?Unapinga nn n ni kweli, ingia katima mitandao yenu ya kijamii...utakuta kenyan news mpka za subcounties hadi nashangaa bana[emoji23][emoji23]
Na wakati mm sijui chato km maisha yakoje na sina hamu
Ju hata wakichinjana leo hko siwezi jua manake siangalii habari zenu labda iletwe hapa jf
Hahahaha!!mpka vijiweni sometime kunaweza ondoka ligi kuhusu kenya na watu wakabishana mpka mwisho..Mitandao ipi ya kijamii hiyo?
Punguza shobo.Hahahaha!!mpka vijiweni sometime kunaweza ondoka ligi kuhusu kenya na watu wakabishana mpka mwisho..
Kwn waniona sijui nn
Shobo na wakati ni vitu nilishawai kutana navyo..Punguza shobo.
Yaani Mtanzania akae vijiweni aanze kujadili failed state!Shobo na wakati ni vitu nilishawai kutana navyo..
Magufuli’s Approval Rating Reaches 102% in Kenya - PostaMateUnapinga nn n ni kweli, ingia katima mitandao yenu ya kijamii...utakuta kenyan news mpka za subcounties hadi nashangaa bana[emoji23][emoji23]
Na wakati mm sijui chato km maisha yakoje na sina hamu
Ju hata wakichinjana leo hko siwezi jua manake siangalii habari zenu labda iletwe hapa jf
Najua ni ngumu kumeza, lkn huo ndio uhalisia.Yaani Mtanzania akae vijiweni aanze kujadili failed state!
Punguza shobo.