Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 15,416
- 22,334
Bado komora kumsifu magufuli tuliwaambia msubiri mwakani na mwakani ndiyo sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado komora kumsifu magufuli tuliwaambia msubiri mwakani na mwakani ndiyo sasa.
Sisi tuna njaa hatuna muda wa kufuatilia mambo ya kipuzi.Ni hivi karibuni nimejua wakenya wanafatilia kila second ya kinachotokea Tanzania kuliko Kenya, talking about literally every single area of what happening or about to happen in Tanzania they have the full details countered.
JPM is the famous man in Kenya before anyone else.
😃😃 Happy new year Tony! Umetoka ulaya? Naja Dresden Germany MarchiSisi tuna njaa hatuna muda wa kufuatilia mambo ya kipuzi
Narudia tena, usisahau zile kauli za wale jamaa wenu ya kwamba muige Kenya[emoji1787]Bado komora kumsifu magufuli tuliwaambia msubiri mwakani na mwakani ndiyo sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilitoka last year. Safe journey.😃😃 Happy new year Tony! Umetoka ulaya? Naja Dresden Germany Marchi
Sasa na wewe MMU huku umefuata nini[emoji205][emoji205]Hana lolote huyo katumwa
Majuzi magufuli kakooa ikawa habari Kenya[emoji23][emoji46]Yaani kila anachofanya JPM ni breaking news kule kenya yaani hadi akitania [emoji23][emoji23][emoji23]
Nani anataka mambo ya kutembea na mavii matakoni. Yani tuwaige kutokuchamba that is future impossible tense.Narudia tena, usisahau zile kauli za wale jamaa wenu ya kwamba muige kenya[emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Wana shobo za kishamba mnoo.Majuzi magufuli kakooa ikawa habari Kenya[emoji23][emoji46]
Bwahahaaa!!kuna habari gani ya kenya isiyopenya tz, zaidi mpka uchaguzi wetu mnaufwatilia na kuside[emoji23][emoji23][emoji23]Yaani kila anachofanya JPM ni breaking news kule kenya yaani hadi akitania [emoji23][emoji23][emoji23]
Endelea kutumia kichwa kama garden ya maua.Bwahahaaa!!kuna habari gani ya kenya isiyopenya tz, zaidi mpka uchaguzi wetu mnaufwatilia na kuside[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwahiyo Mtanzania au hana uraiaHuyo sio mkenya akiwakilisha wakenya Bali ni mixer luo wa Kenya . Anaitwa ATOMI SIFA. Ni msanii wa nyimbo za kujaluo kazi yake ni kuwasifia matajili na wanasiasa mfano kuna nyimbo amewasifia RailaOdinga na hata mbunge wa rorya lameck airo.
Hakuna jipyaa
Hanna watu wanafatilia habari za Kenya kama nyinyi hadi kushinda wakenya wenyewe, mnakesha kwenye media za Kenya 24/7Endelea kutumia kichwa kama garden ya maua.
Sijawahi kaa kupoteza muda kuangalia media za failed state kwanza Tv yangu haina hata channel moja ya kenya,Hanna watu wanafatilia habari za Kenya kama nyinyi..mnakesha kwenye media za Kenya 24/7
Ukweli mchungu, habari za counties hku wabongo wanazifahamu[emoji23][emoji23]Endelea kutumia kichwa kama garden ya maua.