Mkenya aguswa na uchapakazi wa Magufuli na kumtungia wimbo matata

Sisi tuna njaa hatuna muda wa kufuatilia mambo ya kipuzi.
 
joto la jiwe,

Nonsense
Sio Mkenya wala Msukuma. Wahamiaji toka DRC kama sio Rwanda. Tz inamhusu nini
Amsifie au kumkosoa Uhuru
 
Yaani kila anachofanya JPM ni breaking news kule kenya yaani hadi akitania [emoji23][emoji23][emoji23]
Bwahahaaa!!kuna habari gani ya kenya isiyopenya tz, zaidi mpka uchaguzi wetu mnaufwatilia na kuside[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwahiyo Mtanzania au hana uraia
 
Hanna watu wanafatilia habari za Kenya kama nyinyi..mnakesha kwenye media za Kenya 24/7
Sijawahi kaa kupoteza muda kuangalia media za failed state kwanza Tv yangu haina hata channel moja ya kenya,

Habari za kenya huwa nakutana nazo tu,

Mnamfuatilia JPM utafikiri ni rais wenu yaani kila anachofanya media zenu zinaripoti,

JPM akipost kitu wakenya mnajazana kucomments utafikiri kapost kwa ajili ya nchi yenu [emoji23][emoji23][emoji23]

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…