Mkenya aliyetorokwa Tanzania atelekezwa Makuyuni akiwa hoi na corona

Mkenya aliyetorokwa Tanzania atelekezwa Makuyuni akiwa hoi na corona

Sir John Roberts

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2017
Posts
12,835
Reaction score
23,584
Naangalia Azam news muda huu.raia wa Kenya (mkikuyu) kwa mujibu wa utambulisho wake mwenyewe.anaeleza kwamba alikuwa na wenzake baada ya kuzidiwa na homa wakamtelekeza hapo.
 
Moderators naomba muipandishe juu hii picha wakenya wajionee.watu wao wanavotoroka nchi yao kutuletea ugonjwa huku kwetu.
IMG_20200412_201638_454_1586712126554.jpg
 
Wizara ya afya huyo binadamu anahitaji matibabu haraka..

"hakika mlivyowatendea hawa wadogo mlinitendea mimi..'

"nalikuwa na njaa mkanilisha,nalikuwa mgonjwa mkaja kunitazama..:
 
Mleta mada tuliza mihemko, kusanya taarifa kisha uzilete kama zilivyo, nyege za ligi ya Tz vs Ke zinakufanya utupie tupie vitu ambavyo hata wewe huonekani kuvielewa.
Huyo mnamtesa hapo mumegundua vipi anaumwa Corona, nyie watu mna roho za kishetani.
Wagonjwa wote waliokuja na Corona kutoka Tanzania hakuna hata mmoja anayeteswa au kutelekezwa huku, nyie hapo mumtese msafiri kisa anaumwa, na hamjapima kujua anaumwa nini.
Mambo kama haya husababisha uhusiano mbaya wenye visasi. Hii awamu ya sasa mumeishiwa kweli.
 
Mleta mada tuliza mihemko, kusanya taarifa kisha uzilete kama zilivyo, nyege za ligi ya Tz vs Ke zinakufanya utupie tupie vitu ambavyo hata wewe huonekani kuvielewa.
Huyo mnamtesa hapo mumegundua vipi anaumwa Corona, nyie watu mna roho za kishetani.
Sisi sio mafala.
Wakenya wenzake wamekimbia japo atakuwa kashawaambukiza
 
Mleta mada tuliza mihemko, kusanya taarifa kisha uzilete kama zilivyo, nyege za ligi ya Tz vs Ke zinakufanya utupie tupie vitu ambavyo hata wewe huonekani kuvielewa.
Huyo mnamtesa hapo mumegundua vipi anaumwa Corona, nyie watu mna roho za kishetani.
Mkuu sasa na wewe inakuwaje unachangia katika mada ambayo hujaielewa?
 
Amekimbiwa na wakenya wenzie unawalaumu watanzania waliomuokota
Hizo ligi zenu ninyi watu hazifai kwenye utu.
Kuna mwingine kapost video ya maziko ya muathirika mwenda zake kwa corona ya Kenya kisha akasema tizama watanzania wanavokufa

Kuna muda mnajitoa utu kabisa ilimradi mfanye ligi zisizo na faida.
Ugonjwa ni janga la ulimwengu na hakuna MTU au nchi inafurahikiwa na hili janga, tuache kuzushiana na kuchekana Bali tuzidi kupeana mbinu za mapambano.

Asalam Aleikhum!
Mleta mada tuliza mihemko, kusanya taarifa kisha uzilete kama zilivyo, nyege za ligi ya Tz vs Ke zinakufanya utupie tupie vitu ambavyo hata wewe huonekani kuvielewa.
Huyo mnamtesa hapo mumegundua vipi anaumwa Corona, nyie watu mna roho za kishetani.
Wagonjwa wote waliokuja na Corona kutoka Tanzania hakuna hata mmoja anayeteswa au kutelekezwa huku, nyie hapo mumtese msafiri kisa anaumwa, na hamjapima kujua anaumwa nini.
Mambo kama haya husababisha uhusiano mbaya wenye visasi. Hii awamu ya sasa mumeishiwa kweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mleta mada tuliza mihemko, kusanya taarifa kisha uzilete kama zilivyo, nyege za ligi ya Tz vs Ke zinakufanya utupie tupie vitu ambavyo hata wewe huonekani kuvielewa.
Huyo mnamtesa hapo mumegundua vipi anaumwa Corona, nyie watu mna roho za kishetani.
Wagonjwa wote waliokuja na Corona kutoka Tanzania hakuna hata mmoja anayeteswa au kutelekezwa huku, nyie hapo mumtese msafiri kisa anaumwa, na hamjapima kujua anaumwa nini.
Mambo kama haya husababisha uhusiano mbaya wenye visasi. Hii awamu ya sasa mumeishiwa kweli.
Katazame hio video.Mgonjwa anasema kabisa ana mafua makali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naangalia Azam news muda huu.raia wa Kenya (mkikuyu) kwa mujibu wa utambulisho wake mwenyewe.anaeleza kwamba alikuwa na wenzake baada ya kuzidiwa na homa wakamtelekeza hapo.
Hii mijamaa bana,eti limejitambulisha kama mkikuyu,angetaja jina na utaifa wake tu
 
Katazame hio video.Mgonjwa anasema kabisa ana mafua makali.

Sent using Jamii Forums mobile app

Nimeitazama video, nafikiri hadi hapo mtaacha ubishi wa kutusema kisa tunapima watu wengi, sasa mtaelewa kwanini tunapima wengi na kutangaza bila kuficha, maana tumejua tayari kirusi kiko mtaani, hivyo lazima tujaribu kila namna kukimbizana nacho.
Nyie hapo mnapima wachache ili muonekane hakipo sana, mtaweka picha ya kwamba Tanzania hamna kirusi na kusababisha watu waanze kukimbilia huko.
Sasa hivi wazungu wanatafuta nchi ambazo hazijaathirika zaidi wakajifiche huko.
 
Nimeitazama video, nafikiri hadi hapo mtaacha ubishi wa kutusema kisa tunapima watu wengi, sasa mtaelewa kwanini tunapima wengi na kutangaza bila kuficha, maana tumejua tayari kirusi kiko mtaani, hivyo lazima tujaribu kila namna kukimbizana nacho.
Nyie hapo mnapima wachache ili muonekane hakipo sana, mtaweka picha ya kwamba Tanzania hamna kirusi na kusababisha watu waanze kukimbilia huko.
Sasa hivi wazungu wanatafuta nchi ambazo hazijaathirika zaidi wakajifiche huko.
Cha muhimu hapa ni kutafuta hao waliomuacha mwenzao na wakipatikana wapigwe na kutupwa msituni

Wamekuja kusambaza Kwa makusudi
 
Back
Top Bottom