Lewis254
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 7,729
- 3,569
unamaanisha nini mkuu?Mkuu nawakumbusheni tu kwamba pia jf kuna watu wa Taifa la jirani (Kenya) hivyo pia wakti mwingine huja humu kuposti threads za challenge tz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unamaanisha nini mkuu?Mkuu nawakumbusheni tu kwamba pia jf kuna watu wa Taifa la jirani (Kenya) hivyo pia wakti mwingine huja humu kuposti threads za challenge tz
Kwamba siye kila anaye challenge serikali au miradi ya Tanzania ni mtanzania maana watu humu wanaitana ccm au chadema wakidhani kila anayepost thread au coment humu ni mtanzania.unamaanisha nini mkuu?
shukran. nimekuelewaKwamba siye kila anaye challenge serikali au miradi ya Tanzania ni mtanzania maana watu humu wanaitana ccm au chadema wakidhani kila anayepost thread au coment humu ni mtanzania.
watanzania ni wakarimu na tunajaliana wenyewe kwa wenyewe nafikiri kuliko wananchi wa Taifa lolote duniani
Tutakuja sana endeleeni kutuaminisha haya Tanzania na Burundi msije mkashangaa majirani na hata watu kutokea Ulaya wakikimbilia kuja kwenye nchi yenu ya asali na maziwa - JamiiForumsModerators naomba muipandishe juu hii picha wakenya wajionee.watu wao wanavotoroka nchi yao kutuletea ugonjwa huku kwetu.View attachment 1417593
Wakenya Kila siku wanakamatwa wakiingia Tanzania kwa njia za panya ajabu wanawekwa karantini wanalalamika hawana pesa wengine hawana nguo Sasa wanakuja kufanya nn
mmmh.... aisee! ni sheedah kwel kwel. zile mbwembwe zote zimeisha. nchi imejaa vikaragosiHii serikali yetu kila siku ilikuwa inasema sisi tupo vizuri, uchumi umeimarika, leo corona imekuja twaanza kuambiwa sisi ni hohehahe, hatuna chochote ukitufungia siku mbili tu umetuua, tushike lipi?
Waliomkimbia Ni wakenya wenzake siyo watanzania.Mleta mada tuliza mihemko, kusanya taarifa kisha uzilete kama zilivyo, nyege za ligi ya Tz vs Ke zinakufanya utupie tupie vitu ambavyo hata wewe huonekani kuvielewa.
Huyo mnamtesa hapo mumegundua vipi anaumwa Corona, nyie watu mna roho za kishetani.
Wagonjwa wote waliokuja na Corona kutoka Tanzania hakuna hata mmoja anayeteswa au kutelekezwa huku, nyie hapo mumtese msafiri kisa anaumwa, na hamjapima kujua anaumwa nini.
Mambo kama haya husababisha uhusiano mbaya wenye visasi. Hii awamu ya sasa mumeishiwa kweli.
watanzania ni wakarimu na tunajaliana wenyewe kwa wenyewe nafikiri kuliko wananchi wa Taifa lolote duniani
Hii video ni ushuhuda
Kwahiyo mlitaka muingie nchini kinyume cha Sheria muugue Corona halafu muangaliwe tu.I am made to believe Tanzanian media focus on Kenyan issues too much.