Mkenya amaliza ubishi kati ya Kenya vs Tanzania

Mkenya amaliza ubishi kati ya Kenya vs Tanzania

Toka kahama kwenda burundi au rwanda ndiyo utajua ubovu wa barabara za tanzania.Toka tabora mpaka mpanda utajuta kuzaliwa
Tabora mpanda.. mpanda sumbawanga, ndio eneo pekee Tanzania lilikua halija unganishwa na lami miaka mitatu nyuma, by the time napita, lami kutoka sumbawanga kuja mpanda ilikua tayar iko mpanda, karibu kabisa na mjini.. na lami kutoka tabora kwenda mpanda ndio walikua wanachimba barabara sikonge huko, nadhan maendeleo n mazuri.. kama hawajakamilisha basi wako eneo nzuri
 
Huyo mwana dada alisema hio barabara ya upande wa Tz ni nzuri kuliko ya upande wa Kenya kwasababu iko na clear painting na road signs...... Hakusema barabara ya Kenya ni mbaya! Big difference! Ni kama vile nipande ndege ya drimulaina ya Egypt alafu niseme hio ya Egypt ni nzuri kuliko ya Kq, haimanishi kwamba ya Kq ni mbaya!


Angalia hii video ni ya 2014, inaonyesha condition ya Upande wa Kenya, Tunakujua wewe ni muongo na utasema lolote ili ushinde mjadala, hata nikikwambia barabara ya Kwetu iliojengwa mwaka jana ni nzuri kuliko barabara nyingi hapa Kenya, utatunga story na kusema ulitembelea Kenya juzi na ulipitia kwa hio barabara na "haukufurahishwa"





Mwezi wa Mei nilisafiri na gari Kutoka Hadi Busia karibu na Uganda, Hio barabara ilikua safi sana

Vp kuhusu mkenya mwenzenu kulalamika roads zina mashimo mingi za huko kwenu bro.
 
Back
Top Bottom