Mkenya ampa kichapo Mrusi kwenye shindano la ngumi kule Rio

Simba 4-0 AFC Leopard ya manyang'au😀 ni mwendo wa kutandikwa tu!

Two village teams from two third world countries laughing at each other and dissing one another on who has a longer tail than the other! !........mind boggling indeed!
 
Kabla utaje game za kimaandazi sijui eti u17 za watoto, friendlies za vijiweni, hebu nikumbusheni hii nchi ya kichekesho inaitwa Tanzania inashiriki mchezo upi Olympics hahaha
 
Kabla utaje game za kimaandazi sijui eti u17 za watoto, friendlies za vijiweni, hebu nikumbusheni hii nchi ya kichekesho inaitwa Tanzania inashiriki mchezo upi Olympics hahaha
bang bang shot fired. where is the return fire or the bongolalas already know they are shit and they cant argue with the truth?!
 
bang bang shot fired. where is the return fire or the bongolalas already know they are shit and they cant argue with the truth?!
haha Mtu ana compare under 17 na friendly za kiupuzi za simba na world class sports haha bongo lala should b ashamed b4 kuleta ushamba was simba
 

 
 
Wakenya, vp tupeni matokeo ya timu yenu ya Laga kule Rio
 
Badilisha kichwa cha habari iwe hivi, Mkenya apewa kichapo na Mcuba.
 
Wakenya, vp tupeni matokeo ya timu yenu ya Laga kule Rio
Mkuu hali ni tete huko Rio,
Ndio maana unakuta kumepoa humu.. naona ndugu yetu mkenya hapa kwenye Men's Light fly 46-49kg amepewa kipigo hevi kwa kacharii flani ka sharobaro ka Jamaica..
Yaani hadi sasa Africa hakuna kitu huko rio.
Hongera kwa uthubutu anyway,
Thumbs to Peter Mungai,
 
Tatizo wenzetu vihelehele mukichwa, kidogo tu promo nyingi hadi wanaboa
 
Tatizo wenzetu vihelehele mukichwa, kidogo tu promo nyingi hadi wanaboa
Kweli mkuu, hii tabia ya Ku celebrate before tuiache jamani,
Mchana pia timu ya Mpira wa mabavu ya ndugu zetu wakenya imekamuliwa vilivyo na wajapani,
Kwakweli hali ni tete.
 
Kweli mkuu, hii tabia ya Ku celebrate before tuiache jamani,
Mchana pia timu ya Mpira wa mabavu ya ndugu zetu wakenya imekamuliwa vilivyo na wajapani,
Kwakweli hali ni tete.
Walicheza pia na New zealand , walichezea kichapo balaa! Na hawa hawa ndo wanaburuza mkia ktk pool C
 
fuda ww angalia FIFA ranking uone nyinyi no minyoo cape Verde ya kitambo sio yenye unajua sasa ..BTW Tanzania ndo nchi pekee Africa mzima haijui sport yeyote ...
Hehehe, so your name is kalanga , au Karanga,
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
 
Walicheza pia na New zealand , walichezea kichapo balaa! Na hawa hawa ndo wanaburuza mkia ktk pool C
Hivi tupe matokeo ya raga ya Tanzania kule Rio...er sorry..matokeo yoyote tu yale mradi yawe ya raga.
Tanzania hoyeee! hahaaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…