Mkenya ampa kichapo Mrusi kwenye shindano la ngumi kule Rio

Mkenya ampa kichapo Mrusi kwenye shindano la ngumi kule Rio

Kweli mkuu, hii tabia ya Ku celebrate before tuiache jamani,
Mchana pia timu ya Mpira wa mabavu ya ndugu zetu wakenya imekamuliwa vilivyo na wajapani,
Kwakweli hali ni tete.
Hapa itabidi utuelewe...we celebrate every major step made especially kama haikutarajiwa. Huyo jamaa kafaka robo fainali considering its not our main sport.
Mpira wa mabavu kufuzu kwenda Rio...worth celebrating ukizingatia kule tulikoanzia. Hata wale New Zealand na Japan unaoshabikia kumbuka pia walianzia tu kama sisi.
To cut the longs story short...we are still celebrating they made to Rio.
 
Tatizo wenzetu vihelehele mukichwa, kidogo tu promo nyingi hadi wanaboa
Hahaha. Ati vihelehele eeh?
Ndio tunaanza...ngoja uone tukijaza seva za JF.
Rudi hapa baada ya olimpiki tuhesabu medali kisha tuone nani 'vihelehele' as you say it.
 
Tuwe waungwana kidogo, wakenya kwenye riadha, rugby wako vizuri na wanafahamika kimataifa, kama hawafanyi vizuri kwenye ngozi hilo ni jambo lingine lisitufanye tushindwe kutamvua ushindi juu wa masumbwi, hata hivyo bado ni mwenzetu yule wa Afrika Mashariki. Tatizo MK254 hua unareport kwa husda sana🙂
 
  • Thanks
Reactions: sgs
Tuwe waungwana kidogo, wakenya kwenye riadha, rugby wako vizuri na wanafahamika kimataifa, kama hawafanyi vizuri kwenye ngozi hilo ni jambo lingine lisitufanye tushindwe kutamvua ushindi juu wa masumbwi, hata hivyo bado ni mwenzetu yule wa Afrika Mashariki. Tatizo MK254 hua unareport kwa husda sana🙂

Niwe na husda ili iweje, nina haki ya kusheherekea ushindi wa taifa letu, upepeaji wa bendera yetu, wimbo wetu wa taifa kuimbwa duniani kote. Yaani ungejua ninachokisema usingenishangaa.
Upo kwenye bar, unashabikia mashujaa wa taifa lako wakichuana na washindani kutokea mataifa mengi duniani, ina maana kwamba milioni za runinga zinapeperusha hiyo hafla dunia yote.

Halafu hapo hatimaye unaona mashujaa wa kutokea nchi yako wananyakua namba moja, namba mbili na namba tatu kwa mpigo, wimbo wenu wa taifa unaimbwa dunia yote, bendera inapepea kote kote. Jamani mbona usidondokwe na machozi ya furaha.
 
Niwe na husda ili iweje, nina haki ya kusheherekea ushindi wa taifa letu, upepeaji wa bendera yetu, wimbo wetu wa taifa kuimbwa duniani kote. Yaani ungejua ninachikisema usingenishangaa. Upo kwenye bar, unashabikia mashujaa wa taifa lako wakichuana na washindani kutokea mataifa mengi duniani, ina maana kwamba mamilioni ya runinga zinapeperesha hiyo hafla dunia yote.

Halafa hapo hatimaye unaona mashujaa wa kutokea nchi yako wananyakua namba moja, namba mbili na namba tatu kwa mpigo, wimbo wenu wa taifa unaimbwa dunia yote, bendera inapepea kote kote. Jamani mbona usidondokwe na machozi ya furaha.

Ha ha haaa wewe ni kiboko, sina tatizo na kushangilia ushindi mkuu, na huo ndio uzalendo haswa!!!! ni raha sana kuona bendera ya nchi yako inapepea na wimbo wa taifa unapigwa. Husda niliyokua naiongelea ni ile hulka yako ya kuwa na shari na dharau kwa wengine, hilo tu. Hata mimi naungana kumpongeza shujaa aliyemtwanga mrusi.
 
Kwanini timu yenu ya raga(rugby sevens) inaundwa na wajaluo watupu?
 
Kwanini timu yenu ya raga(rugby sevens) inaundwa na wajaluo watupu?
kwanini mbio fupi (100m,200m,400m,realays) zinakimbiwa na waamerika weusi na mashindano kama long jump,high jump, achery zinashindanwa na wamarekani weupe?
 
Niwe na husda ili iweje, nina haki ya kusheherekea ushindi wa taifa letu, upepeaji wa bendera yetu, wimbo wetu wa taifa kuimbwa duniani kote. Yaani ungejua ninachokisema usingenishangaa.
Upo kwenye bar, unashabikia mashujaa wa taifa lako wakichuana na washindani kutokea mataifa mengi duniani, ina maana kwamba milioni za runinga zinapeperusha hiyo hafla dunia yote.

Halafu hapo hatimaye unaona mashujaa wa kutokea nchi yako wananyakua namba moja, namba mbili na namba tatu kwa mpigo, wimbo wenu wa taifa unaimbwa dunia yote, bendera inapepea kote kote. Jamani mbona usidondokwe na machozi ya furaha.
One thing ambacho wabongo tunahitaji kujifunza toka kwenu ni molari ya uthubutu,
Kenyans are very aggressive and they doesn't hesitate trying anything,
Lakini jambo moja you need to learn in life ni kupunguza ujuaji na kuona kama mwingine hajui kitu..
If you can't speak something good for someone at least, then shut your opening.
Kama timu za Kenya zinafanya vyema kuna haja gani ya kukejeli tz,??
Tatizo LA Kenya kutofautiana na Tz ni huo ujuaji na dharau na vile mnajiaminisha kwa media kama watz ni lazy...

To me any African is my brother /sister
Popote pale black akikutana na white nitakuwa upande wa black maana whites undermine blacks anywhere.., but this attitude of yours makes things different..
...you must change that stupid ego otherwise this nonsense hate will last forever.
And you know Tz has Nothing to lose.
 
One thing ambacho wabongo tunahitaji kujifunza toka kwenu ni molari ya uthubutu,
Kenyans are very aggressive and they doesn't hesitate trying anything,
Lakini jambo moja you need to learn in life ni kupunguza ujuaji na kuona kama mwingine hajui kitu..
If you can't speak something good for someone at least, then shut your opening.
Kama timu za Kenya zinafanya vyema kuna haja gani ya kukejeli tz,??
Tatizo LA Kenya kutofautiana na Tz ni huo ujuaji na dharau na vile mnajiaminisha kwa media kama watz ni lazy...

To me any African is my brother /sister
Popote pale black akikutana na white nitakuwa upande wa black maana whites undermine blacks anywhere.., but this attitude of yours makes things different..
...you must change that stupid ego otherwise this nonsense hate will last forever.
And you know Tz has Nothing to lose.

Nafikiri Wabongo ndio mkae mjiulize maswali mengi sana kabla ya kushutumu. Nakuhakikishia ukiishi Kenya, utashangaa sana labda asilimia ndogo ya Wakenya ndio wanafuatilia mambo ya Watanzania. Haswa Wakenya waliowahi kuishi Tanzania, lakini wengine wote huwa hawana haja hata ya kujua nani rais wenu. Yaani hata ukiwa Mtanzania unapiga mishe zako Nairobi, hakuna Mkenya anashughuli na Utanzania wako, kila mtu anarauka alfajili kukimbizana na mishe zake.
Lakini kwa Watanzania, hilo ni tofauti, nyie siku zote mnaona kivuli cha Wakenya, kila mkihojiwa mnamwogopa nani, hamkawii kutaja Mkenya.

Mara nyingi sisi huwa tunaleta taarifa nzuri za kuhusu Kenya humu, lakini kwa jinsi mlivyojaa chuki, badala ya kutoa hongera mnaishia kutukana, na sisi tunajibu matusi yenu kwa dharau. Na tunaendelea hivyo miaka yote maana taratibu naona mnakua, kuna baadhi yenu mliishi kila siku humu JF Kenyan news mkitutusi, lakini siku hizi mumepungua na kuanza kuwa wastaarabu. Ina maana juhudi zetu zinafua dafu.

Ukiona mtu anakudharau, jiulize nini unachokifanya hadi iwe hivyo, hakuna Mkenya anayeweza kukurupuka na kukudharau bila sababu. Kuna Wabongo wengi wazuri wanaojiamini na nimefanya nao shughuli bila matatizo yoyote. Juzi nimekua pale Zanzibar, jamaa wapo wapo sawa sana, kichwa aisei na wana hekima sana na bidii, tumepiga nao shughuli za kikazi tena kwa heshima kubwa sana. Hatukua na Ukenya wala Utanzania, kila mtu anachangia ujuzi wake anavyoweza ili kufanikisha mradi.

Sasa wale niliwaona tofauti sana na kundi la Wabongo wengine nilifanya nao kazi fulani Dar hapo awali. Jamaa hawajiamini full, yaani kwenye vikao hawaongei, kimyaaaa, halafu baadaye wanalalamika ovyo. Hamna tofauti kati yao na nyie mliopo humu JF. Siku zote kuona Wakenya kama ndio vizuizi vyenu vya maendeleo.
 
Hivi tupe matokeo ya raga ya Tanzania kule Rio...er sorry..matokeo yoyote tu yale mradi yawe ya raga.
Tanzania hoyeee! hahaaa.
Sisi hatujapeleka timu ya raga, sasa wewe unataka matokeo ya nini tena? Kama unahitaji kingine ruksa kuuliza
 
One thing ambacho wabongo tunahitaji kujifunza toka kwenu ni molari ya uthubutu,
Kenyans are very aggressive and they doesn't hesitate trying anything,
Lakini jambo moja you need to learn in life ni kupunguza ujuaji na kuona kama mwingine hajui kitu..
If you can't speak something good for someone at least, then shut your opening.
Kama timu za Kenya zinafanya vyema kuna haja gani ya kukejeli tz,??
Tatizo LA Kenya kutofautiana na Tz ni huo ujuaji na dharau na vile mnajiaminisha kwa media kama watz ni lazy...

To me any African is my brother /sister
Popote pale black akikutana na white nitakuwa upande wa black maana whites undermine blacks anywhere.., but this attitude of yours makes things different..
...you must change that stupid ego otherwise this nonsense hate will last forever.
And you know Tz has Nothing to lose.
Sawa kabisa, mfano Africa kusini ni nchi ambayo haileti dharau kabisa kwa nchi nyingine za africa ambazo hazina uwakilishi au kimichezo iko chini kabisa! na leo wamefanya vizuri sana tena kimya kimya ktk mchezo wa raga.
 
Sawa kabisa, mfano Africa kusini ni nchi ambayo haileti dharau kabisa kwa nchi nyingine za africa ambazo hazina uwakilishi au kimichezo iko chini kabisa! na leo wamefanya vizuri sana tena kimya kimya ktk mchezo wa raga.
"Afrika Kusini haileti dharau kabisa kwa nchi nyiigine za Africa ambazo hazina uwakilishi..."? [emoji15] [emoji15]

Kaka, Africa Kusini hawazijui hata hizo nchi unazozizungumzia.
 
Nafikiri Wabongo ndio mkae mjiulize maswali mengi sana kabla ya kushutumu. Nakuhakikishia ukiishi Kenya, utashangaa sana labda asilimia ndogo ya Wakenya ndio wanafuatilia mambo ya Watanzania. Haswa Wakenya waliowahi kuishi Tanzania, lakini wengine wote huwa hawana haja hata ya kujua nani rais wenu. Yaani hata ukiwa Mtanzania unapiga mishe zako Nairobi, hakuna Mkenya anashughuli na Utanzania wako, kila mtu anarauka alfajili kukimbizana na mishe zake.
Lakini kwa Watanzania, hilo ni tofauti, nyie siku zote mnaona kivuli cha Wakenya, kila mkihojiwa mnamwogopa nani, hamkawii kutaja Mkenya.

Mara nyingi sisi huwa tunaleta taarifa nzuri za kuhusu Kenya humu, lakini kwa jinsi mlivyojaa chuki, badala ya kutoa hongera mnaishia kutukana, na sisi tunajibu matusi yenu kwa dharau. Na tunaendelea hivyo miaka yote maana taratibu naona mnakua, kuna baadhi yenu mliishi kila siku humu JF Kenyan news mkitutusi, lakini siku hizi mumepungua na kuanza kuwa wastaarabu. Ina maana juhudi zetu zinafua dafu.

Ukiona mtu anakudharau, jiulize nini unachokifanya hadi iwe hivyo, hakuna Mkenya anayeweza kukurupuka na kukudharau bila sababu. Kuna Wabongo wengi wazuri wanaojiamini na nimefanya nao shughuli bila matatizo yoyote. Juzi nimekua pale Zanzibar, jamaa wapo wapo sawa sana, kichwa aisei na wana hekima sana na bidii, tumepiga nao shughuli za kikazi tena kwa heshima kubwa sana. Hatukua na Ukenya wala Utanzania, kila mtu anachangia ujuzi wake anavyoweza ili kufanikisha mradi.

Sasa wale niliwaona tofauti sana na kundi la Wabongo wengine nilifanya nao kazi fulani Dar hapo awali. Jamaa hawajiamini full, yaani kwenye vikao hawaongei, kimyaaaa, halafu baadaye wanalalamika ovyo. Hamna tofauti kati yao na nyie mliopo humu JF. Siku zote kuona Wakenya kama ndio vizuizi vyenu vya maendeleo.
Mk254,
Wacha uongo,
Huwezi sema wakenya wengi hawamjui mtu kama Magufuli, (Jembe),
Nakuhakikishia umaarufu wa JPM Kenya ni mkubwa sana kuliko ilivyo UK Tz, japo jpm hata mwaka hajamaliza in power (lie??)
Kenyans speak about Tz frequently than Tz does,
Huku tupo wachache sana ambayo tunafuatilia mambo yenu,
Hata humu jf zaidi ya hapa kwenye jukwaa LA Kenya huwezi ona habari za Kenya zinapostiwa na mtz frequently like kule ktalk or whatever you call it..
Na hakuna mbongo anaemwogopa mkenya, ila tu hatuwaamini kwa sababu ya tabia zenu za WIZI!!
Na sio tz tu, nyie hamuelewani na majirani zenu wote ( ug, Ethiopia, Somalia , Tz),
What do you say??
Tz ni kipenzi cha kila nchi duniani(prove me wrong) , except you guys sababu ya wivu na chuki..
 
Mk254,
Wacha uongo,
Huwezi sema wakenya wengi hawamjui mtu kama Magufuli, (Jembe),
Nakuhakikishia umaarufu wa JPM Kenya ni mkubwa sana kuliko ilivyo UK Tz, japo jpm hata mwaka hajamaliza in power (lie??)
Kenyans speak about Tz frequently than Tz does,
Huku tupo wachache sana ambayo tunafuatilia mambo yenu,
Hata humu jf zaidi ya hapa kwenye jukwaa LA Kenya huwezi ona habari za Kenya zinapostiwa na mtz frequently like kule ktalk or whatever you call it..
Na hakuna mbongo anaemwogopa mkenya, ila tu hatuwaamini kwa sababu ya tabia zenu za WIZI!!
Na sio tz tu, nyie hamuelewani na majirani zenu wote ( ug, Ethiopia, Somalia , Tz),
What do you say??
Tz ni kipenzi cha kila nchi duniani(prove me wrong) , except you guys sababu ya wivu na chuki..

Magufuli amefahamika na Wakenya kwa ajili ya hayo mambo yake ya kukurupuka na maamuzi ya ghafla. Japo naona Wabongo wengi wameanza kulalamika ovyo kumhusu. Lakini Mkenya wa kawaida hakua na habari au umuhimu wa kufuatilia mambo ya Bongo.

Ukishtukiza Mkenya yeyote barabarani na kumhoji kuhusu Tanzania. Kitu cha kwanza kumjia akilini itakua ushirikina na uganga maana kuna mabango yamejaa Kenya yanatangaza hiyo taaluma yenu. Na kingine ni tabia zenu za ulaji wa albino, hiyo sifa nayo hamjambo, imewafanya mfahamike dunia yote.

Halafu labda kwenye sifa nzuri tulizonazo kuhusu Wabongo ni nyimbo zenu za Bongo flavor, hapo nakiri kwa kweli kuna Wakenya wengi wanaziskliza. Lakini zaidi ya hapo, hamna kingine.

Hii picha hapa chini itadhihirisha sifa za Watanzania Kenya
20160428_090134.jpg
 
kwa maisha yangu yote, ni mara kidogo sana bapo nimeskia wakenya wakiongea kuhusu tanzania, na zile mara chache nimeskia mkenya akiongea khusu mtanzania ni kama anaigiza accent ya kitanzania ya kitu kama 'kaka naomba bia' ama kama watu wanaongelea uvivu wa wafanyikazi, hapo ndo mara moja au mbili nishawahi ski mkenya anataja tanzania,,,,,,,,,,,,,,

sasa ikija kwa serious matter, wakenya wengi utakuta wanajua rais wa tz ni nani na pia wanajua kilimanjaro iko tz, na maybe pia wanajua serengeti inapakana na masai mara, ukimuuliza mkenya kitu chengine kuhusu Tz utakuta hata hajishughulishi kabisa..... wanamziki wa tz ndo wanajulikana huku kenya, lakini tanzania kama nchi ama watz wenyewe.......


kama mimi kwa mfano, najua rais wa tz ni JPM, but after hapo sijui mfanyikazi mwengine yeyote wa serikali, sijui mahakamu anaitwa nani, sijui mawaziri (najua waziri wenu wa nje ni mwanamke i think).... kumbuka mimi hua hapa JF nikishindana na watz kilasiku, na si wakenya kwa jf si wengi, je unafikiri mkenya wa kawaida ambaye ata hajui JF ni nini anajisumbua kujua mambo ya tz?
 
Na wa kwetu chotara waleeee wa wasiotakiwa na kisonge kaingia nusu fainali ya 50mts free style kuogelea..
 
Back
Top Bottom