Dah sema mchina kakosea sana kumchapa mwana Africa Mashariki mwenzetuWanapita kimya kimya.
Wakenya kwa watu weupe ndivyo mlivyo, ninyi ni hovyo kabisa. "Kenya not yet Uhuru".In as much as I condemn violence, on this occasion I support the beating...how and why on earth would a grown ass creature submit yourself to your employer this much?? Wee bwege nini 😂😂
Nikimpata pia mimi namuongeza zangu saba vile hadi akili zimrudie!
Kwa unafiki hamjambo. Tukio mbaya ata zaidi kuliko hili lilitendeka Tz, kwani Askari wenu walikuwa wakishirikiana na WACHINA hawa kuwadhulumu waTz wenzako.Wakenya kwa watu weupe ndivyo mlivyo, ninyi ni hovyo kabisa. "Kenya not yet Uhuru".
Kupigwa na polisi ni kawaida Africa..Lakini kutandikwa viboko na mhamiaji kutoka china ni aibu sana kwa mwafrika huruKwa unafiki hamjambo. Tukio mbaya ata zaidi kuliko hili lilitendeka Tz, kwani Askari wenu walikuwa wakishirikiana na WACHINA hawa kuwadhulumu waTz wenzako.
Waafrika bado sana. Usilete ligi kwa hili.
Tazama na hii nyingine.
Kwa unafiki hamjambo. Tukio mbaya ata zaidi kuliko hili lilitendeka Tz, kwani Askari wenu walikuwa wakishirikiana na WACHINA hawa kuwadhulumu waTz wenzako.Wakenya kwa watu weupe ndivyo mlivyo, ninyi ni hovyo kabisa. "Kenya not yet Uhuru".
Mkuu, Tazama video Kwanza. Hawa watz waliamrishwa na Askari kulawitiana kutoka kwa maagizo ya WACHINA...Kupigwa na polisi ni kawaida Africa..Lakini kutandikwa viboko na mhamiaji kutoka china ni aibu sana kwa mwafrika huru
Mtanzania mwenzangu yoyote anayechekelea huu upuuzi kisa umemtoka mkenya basi ni mpumbavu. Huu ni ubaguzi dhidi ya watu weusi na nimeshindwa kuona jambo lolote la kufurahisha hapo. Halafu hutasikia haki za binadamu wa kiafrika wakiongelea hili.
Wakenya wanaona Sawa tu mbona [emoji23][emoji23][emoji23]Wanapita kimya kimya.
Hizi ni tuhuma hakuna mwenye kujua ukweli kwasababu wanaotuhumiwa wamekanusha, lakini hata kama imetokea hayo matendo yametokea faragha sio hadharani, pia kama ni kweli basi jambo hili limefanywa na polisi sio wachina, hiyo tunaita ni "Police brutality" ambayo Kenya inaongoza Africa katika Police brutalityKwa unafiki hamjambo. Tukio mbaya ata zaidi kuliko hili lilitendeka Tz, kwani Askari wenu walikuwa wakishirikiana na WACHINA hawa kuwadhulumu waTz wenzako.
Waafrika bado sana. Usilete ligi kwa hili.
Tazama na hii nyingine.
Wala usibadilishe gear! Unataka kutorokea kwa POLICE BRUTALITY? Hahaa.. Nilijua hutakosa kuleta pumba!Hizi ni tuhuma hakuna mwenye kujua ukweli kwasababu wanaotuhumiwa wamekanusha, lakini hata kama imetokea hayo matendo yametokea faragha sio hadharani, pia kama ni kweli basi jambo hili limefanywa na polisi sio wachina, hiyo tunaita ni "Police brutality" ambayo Kenya inaongoza Africa katika Police brutality
Bora wananyukwa viboko na wachina KULIKO WANAPIGWA RISASI NA SERIKALI YA CCM.
kiukweli wakenya wametuacha mbali sana kwa ubwege kimaisha, hongera wakenya, na MUNGU ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika isipokuwa vilaza wa Kenya
Hahaha. pingli-nywee, huyu jamaa hajakuambia poa. Amekuzoea.