Mkenya anyukwa viboko na mchina

Mkenya anyukwa viboko na mchina

Wakenya mmezid usenge jamani kha! Tukisema ukwel mnamand hiv kwel dume zima unakubali kuweka matako mwanaume mwenzako akutie bakora? Hata kama ni umasikini wakenya mmezid. Huku Tz mwanafunz tu wa darasa la pili hawez kukubali upuuz huo na pangechimbika hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
Alafu kachina kenyewe kafupi kenya tolu ila bado tu. aibu sana!
 
Kenya mnajifanya wajanja kumbe mafala tu. yaani unamtengea kabisa akuchape...
MK254.

Mbona Tanzania mnapigwa hata ngumi na Kungfu za Wachina, huwa hamuoni aibu
 
1867749_unnamed.jpg
1867747_DhlUgxYX4AA53aA.jpg
 
Weka video acha porojo..

Hizo hapo ni taarifa za kituo cha habari Tanzania, wengi wenu ni maskini huko migodini hamuna simu za video, jamaa wanawapiga kungfu
 
Hizo hapo ni taarifa za kituo cha habari Tanzania, wengi wenu ni maskini huko migodini hamuna simu za video, jamaa wanawapiga kungfu
Acha porojo. Weka hata picha mnato kama hao wa sgr ya kenya wakitandikwa viboko.
 
Acha porojo. Weka hata picha mnato kama hao wa sgr ya kenya wakitandikwa viboko.

Halafu mpaka waziri wenu akalazimika kuingilia kati maana kipigo kilikua too much
 
Mbona kwao ni ufahari kuchwapwa na mtu mweupe,bado kuchwapwa lile lililosema watawafukuza wageni
 
Dah poleni ndugu zetu, huku kwetu Tanzania mcina moja alimkata kiganja mfanyakazi. hawa macho madogi katili sana
 
Back
Top Bottom