mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alafu kachina kenyewe kafupi kenya tolu ila bado tu. aibu sana!Wakenya mmezid usenge jamani kha! Tukisema ukwel mnamand hiv kwel dume zima unakubali kuweka matako mwanaume mwenzako akutie bakora? Hata kama ni umasikini wakenya mmezid. Huku Tz mwanafunz tu wa darasa la pili hawez kukubali upuuz huo na pangechimbika hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh.
Kenya mnajifanya wajanja kumbe mafala tu. yaani unamtengea kabisa akuchape...
MK254.
Weka video acha porojo..Mbona Tanzania mnapigwa hata ngumi na Kungfu za Wachina, huwa hamuoni aibu
Raia wa China watimuliwa kwa kuwapiga makonde Watanzania
SERIKALI imewatimua nchini raia wawili wa China kwa kosa la kuwatwanga makonde na kuwanyanyasa Watanzania walioajiriwa katika mradi wa ujenzi wa barabara ya Chunya Makongorosi mkoani Mbeya, inayojengwa kwa kiwango cha lami.www.ippmedia.com
Weka video acha porojo..
Acha porojo. Weka hata picha mnato kama hao wa sgr ya kenya wakitandikwa viboko.Hizo hapo ni taarifa za kituo cha habari Tanzania, wengi wenu ni maskini huko migodini hamuna simu za video, jamaa wanawapiga kungfu
Raia wa China watimuliwa kwa kuwapiga makonde Watanzania
SERIKALI imewatimua nchini raia wawili wa China kwa kosa la kuwatwanga makonde na kuwanyanyasa Watanzania walioajiriwa katika mradi wa ujenzi wa barabara ya Chunya Makongorosi mkoani Mbeya, inayojengwa kwa kiwango cha lami.www.ippmedia.com
Acha porojo. Weka hata picha mnato kama hao wa sgr ya kenya wakitandikwa viboko.
Mbona kwao ni ufahari kuchwapwa na mtu mweupe,bado kuchwapwa lile lililosema watawafukuza wageni
Leta kideo au picha wakipigwa tuaminiRaia wa China watimuliwa kwa kuwapiga makonde Watanzania
SERIKALI imewatimua nchini raia wawili wa China kwa kosa la kuwatwanga makonde na kuwanyanyasa Watanzania walioajiriwa katika mradi wa ujenzi wa barabara ya Chunya Makongorosi mkoani Mbeya, inayojengwa kwa kiwango cha lami.www.ippmedia.com
Hovyo sana wewe! Jina la kibantu hilo.Wewe jina lako tayari ni la kichina, unapayukwa nini hapa?