Mkenya anyukwa viboko na mchina

Wakenya mmezid usenge jamani kha! Tukisema ukwel mnamand hiv kwel dume zima unakubali kuweka matako mwanaume mwenzako akutie bakora? Hata kama ni umasikini wakenya mmezid. Huku Tz mwanafunz tu wa darasa la pili hawez kukubali upuuz huo na pangechimbika hapo
Tena huyu jamaa kafanana kabisa na member mmoja wa hapa


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili linahuzunisha zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…