MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Mkenya mmoja kwa jina la Murithi amepigwa nyundo (miaka) 2800 baada ya kukutwa na makosa 400 ya utakatishaji wa fedha katika mahakama ya Kisutu.
Nyang'au kama unakuja Bongo kutafuta hela njoo ila uwe unafanya kitu legit maana huku sio sehemu salama kwa mambo yenu ya ajabu ajabu (muulizeni mhindi Sethi),Bongo hatuna tatizo hata kuiweka kaunti moja yote ndani kama mkionekana mnafanya vitu vya ovyo.
Habari zaidi zinafuata wakuu
Nyang'au kama unakuja Bongo kutafuta hela njoo ila uwe unafanya kitu legit maana huku sio sehemu salama kwa mambo yenu ya ajabu ajabu (muulizeni mhindi Sethi),Bongo hatuna tatizo hata kuiweka kaunti moja yote ndani kama mkionekana mnafanya vitu vya ovyo.
Habari zaidi zinafuata wakuu