Ze ze ze zile za Magufuli sijui Air ama Ni flight hostages ....Yani Dr.Magufuli ππππWacha wivu za peni mbili. Huoni Kiingereza chenyewe ni kisafi kama cha Kenya? Au Watanzania pia wanaweza kuongea Kiingereza hicho?
Kutoa ni moyo, lazima akawapigie project za maana hapo kijijini kwa hela hioMwalimu kauaga umasikini.
Hapo anaenda kuchekea chooni
Nahisi uko sahihi hasa kwa hayo mavazi yake.Hii ya siku nyingi...Nahisi ni Padre/brother Mkapuchini
Mwalimu wa sayansi kutoka maeneo ya vijijini Kenya ambaye alikua anatoa mshahara wake zaidi Ili Kusaidia wanafunzi masikini amepata Taji la ualimu bora ulimwenguni na amepewa Tuzo ya Dola Milioni 1.
View attachment 1706915
Walimu wa bongo tuendelee kuendesha bodaboda na kulalamika kuwa mishahara ni midogo. Tutalalamika mpaka dunia inafika mwisho na mishahara haitakuja tosha.
Dah.. hapo ataanzisha shule ya maana kabisaaaMwalimu wa sayansi kutoka maeneo ya vijijini Kenya ambaye alikua anatoa mshahara wake zaidi Ili Kusaidia wanafunzi masikini amepata Taji la ualimu bora ulimwenguni na amepewa Tuzo ya Dola Milioni 1.
View attachment 1706915
Walimu wa bongo tuendelee kuendesha bodaboda na kulalamika kuwa mishahara ni midogo. Tutalalamika mpaka dunia inafika mwisho na mishahara haitakuja tosha.
Hata mimi nilikwisha isikia mda mrefu sana. BBC Swahili.Hii ya siku nyingi...Nahisi ni Padre/brother Mkapuchini