Mkenya awa Mwafrika wa kwanza kushinda tuzo ya mwalimu bora duniani

Umemaliza vibaya aya ya mwisho, ungejua Waalimu walivyotusaidia sisi watoto yatima! Usingesema hivo. Mwaka 2011 kuna mwalimu alinichongea kiti na meza kwa hela yake, na mambo madogo madogo. Wapo wengi tu TZ wanasaidia. Mungu awabariki wote waliosaidia mimi kufika elimu ya juu.
 
Safi sana,
Ukifanikiwa usiisahau kuikumbuka familia yake pia, japo wanasema tenda wema uende zako.
 
Safi sana,
Ukifanikiwa usiisahau kuikumbuka familia yake pia, japo wanasema tenda wema uende zako.
Ahsante kwa kunikumbusha, ni sababu tu ya unemployment, ila nilishaweka ahadi, nitatimiza tu, lazima nisomeshe vijana kadhaa, Mungu akija kunibariki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…