Young Gwala
Member
- Mar 21, 2017
- 25
- 9
Imperialism at its best! Mzungu amehakikisha yaani sisi waafrika tutatofautishwa kwa hali ya chuki Baina ya mipaka hadi ubishi wa kijamii kama huu waebua maneno ya chuki na uhasama. Afrika Ni watu moja acheni kutenganishwa na globalist movement. Hii ni kwa ndugu Zangu wa Tz wanaoshtumu wenzao wa Kenya kwa kila wanalofanya.