Mkeo akikupa taarifa ya mpangaji mwenzenu wa kiume kumuomba namba utachukua hatua gani?

Mkeo akikupa taarifa ya mpangaji mwenzenu wa kiume kumuomba namba utachukua hatua gani?

jirani mmoja aliwahi kumwomba namba mke wangu akapewa namba .

Week nzima jamaa anatongoza kwa sms akijuwa anachat na mke wng.
Siku aliyojuwa kwamba anacht na mimi ,,, jamaa alikimbia chumba na kodi kaacha...
Hiyo ndio inavyotakiwa,
 
Mara nyingi demu anaketa story kama hizi, ili kukushtua ww kua kaa chonjo mwenzio bado yuko sokoni.

Kwamba any tume ukindelete, wenzako wana nidownload 😄

Any way hii ishawai nikuta.

Dem kamwambia mchiz wake kua nimemtongoza, Hapo hata jina simjui wala hatuongei. Sema jamaa alipotezea.

Siku zilipo sogea, akanipa no. yake nikitoka nikamuwekee hela. The rest is a story.

Nilumuonea huruma sana yule jamaa, Wako na mtoto mmoja, ila demu ni hajielewi, posibly na umri unachangia

Msiamini kila kitu mnachoambiwa na hizi ke.
 
Kwa mfano kuna mpangaji mpya amewasili mnapoishi ila baada ya mwezi akamuomba namba ya simu mkeo kwa siri kwamba lengo wewe usijue tena alivyo mshamba akatumia kimemo na ushahidi upo wa kimemo na mkeo akamnyima na akaja kukusimulia wewe ila kwa kuogopa kugombanisha mpangaji na mkewe akakuomba chondechonde usianzishe vurumai hapo nyumbani kwani itakuwa ni aibu isitoshe utawagombanisha mtashindwa kuishi hapo so anakuomba kwamba uwe na kifua kipindi mnatafuta nyumba nyingine.

Je hatua gani za mapema uzichukue?

Je umkanye huyo mpangaji kimya kimya?

Au mbele ya mkewe?

Au utume mtu mzima akamueleze?

Au ukamnywee konyago ili uje ulianzishe fujo mtaa mzima wapate habari umekinukisha.
Kama mkeo ametongozwa na mpangaji mwenzenu kisha akataka muhame tena bila kumkanya mpangaji husika, amka. Hiyo ni zuga ili wapate nafasi huku wewe ukijua unaye mke mwaminifu. Trust me, unamegewa
 
Kuna manzi jana ananipa stori jinsi mkurugenzi wa halmshauri anavyomtaka na mkurugenzi mwingine wa halmshauri jirani na anayofanyia kazi naye hivyohivyo anataka atoke naye. Anasema eti wote akawachomolea. Mimi nikapata jibu tu kuwa tayari wanamtomba
 
Me naamini mwanamke anayekupenda kweli hawezi kukueleza kitu kama hiki, lazma amkatalie jamaa kimya kimya.

Usimuamini mwanamke anayejifanya kukuweka wazi kwenye kila jambo, huwa wanatafuta kuaminiwa tu hawa ili waweze kufanya mambo mengine bila kushtukiwa.

Tuishi nao kwa akili tu.
 
Kuna manzi jana ananipa stori jinsi mkurugenzi wa halmshauri anavyomtaka na mkurugenzi mwingine wa halmshauri jirani na anayofanyia kazi naye hivyohivyo anataka atoke naye. Anasema eti wote akawachomolea. Mimi nikapata jibu tu kuwa tayari wanamtomba
🤣🤣🤣
 
Muulize hao wengine wanaomuomba namba mbona hakuambii ?

Piga kelbu mbili tatu mwambie ..siku nikuone....
 
Kwa mfano kuna mpangaji mpya amewasili mnapoishi ila baada ya mwezi akamuomba namba ya simu mkeo kwa siri kwamba lengo wewe usijue tena alivyo mshamba akatumia kimemo na ushahidi upo wa kimemo na mkeo akamnyima na akaja kukusimulia wewe ila kwa kuogopa kugombanisha mpangaji na mkewe akakuomba chondechonde usianzishe vurumai hapo nyumbani kwani itakuwa ni aibu isitoshe utawagombanisha mtashindwa kuishi hapo so anakuomba kwamba uwe na kifua kipindi mnatafuta nyumba nyingine.

Je hatua gani za mapema uzichukue?

Je umkanye huyo mpangaji kimya kimya?

Au mbele ya mkewe?

Au utume mtu mzima akamueleze?

Au ukamnywee konyago ili uje ulianzishe fujo mtaa mzima wapate habari umekinukisha.
Ukianzisha vurugu utatakiwa uwe na sababu iliyonyooka coz kuombwa namba tu sidhani kama inauzito kiasi hiko cha kuanzisha vurugu.

Maybe umuite muongee kishkaji like nimeona unahitaji namba ya mke wangu bhana, vipi usalama upo kaka? Then mskie anasemaje.

Kama mkeo ni mzuri hayo mambo huwezi epuka and muhimu na yeye ayachukulie kawaida kama mwanamke sio kuombwa namba tu anakuja kuripot hapo ni kuzua taharuki😆.
 
Ni aibu kubwa sana kwa mke au girl friend kukuambia kuwa katongozwa na fulani
Huyo ni mchonganishi au haelewi maadili na heshima kwa mme

Yeye kama katongozwa wajibu wake ni kujitetea mwenyewe aidha kukataa kwa kistaarabu na kumwambia nina mme au kumchana mazima
Lakini kama atakuwa na tabia za kuluambia kila anae mtongoza basi hata ndugu akumtongoza atakuambia pia na je wote wanaomtongoza iwe kwa mwenye duka, muuza maji, mtembeza mboga

Kila leo akikuambia basi utapata pressure na kugombana na kila mtu
Nasema haya kwa uzee nilio nao
Mwambie mke wako kuanzia leo ni marufuku akuambie nani kamtongoza au nani anamtaka bali awe na adabu zake na apambane nao mwenyewe

Na wengine msiojua ndio hivyo tena najua kuna watu hawaongei na marafiki zao kisa mwanamke wake kamwambia rafiki yako ananitaka

Sio haki na sio afya kwako
 
Itakuwa jamaa mnyasa sana hadi mkeo kaona atumie kama kisafisha moyo kwako ili umuone muaminifu… Sasa sikia ukiona mke wako hadi kakuambia basi hawezi kumvulia jamaa nguo maana kashamdharau cha kufanya muite tu jamaa kistaarabu muelekeze tu kwamba aache ushamba alafu kwa mkeo jifanye kama umempuuza tu jamaa wala hauna noma nae na hautamuambia chochote kuna kitu kikubwa utakitengeneza.
 
Back
Top Bottom