Mkeo akitamaniwa na mwalimu wake wa chuo utafanya nini?

Mkeo akitamaniwa na mwalimu wake wa chuo utafanya nini?

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Tumeoma mara kwa mara kero ya hawa walimu wa vyuoni wakiwa wanatumia silaha ya maksi kulala na wanafunzi.

Wanakuwa na nguvu ya kulala na mwanafunzi hata kama mwanafunzi hampendi, wanakuwa ma nguvu ya kulala na wanafunzi bila kulipia chochote zaidi ya kutoa maksi.

Sasa ikija kutokea mke wako katamaniwa na mwalimu wake halafu hapo ni mwaka wa mwisho kuna somo ni gumu kwake na ili kulipita ni lazima afanye ufuska, wewe kama mme wake utafanya nini kunusuru hii kitu, maana ukizembea hapo mkeo anaweza kuamua liwalo na liwe, Kasoma chuoni hapo miaka minne alafu safari iishie mwaka wa nne??,

Hapo inahitaji mwanamke mwenye msimamo kweli kweli kukwepa ama mume wake afanye maamuzi magumu kumnasua katika hii tamaa.

Navuta picha tu kwa wale wenye wake zao vyuoni
 
Huyu mke wako kwani atakuwa analiwa na hawa waalimu pekee yao? Akiliwa sio mbaya, anakuwa ameonja utamu wa PhD ama uprofessa.
Tumeoma mara kwa mara kero ya hawa walimu wa vyuoni wakiwa wanatumia silaha ya maksi kulala na wanafunzi.

Sasa ikija kutokea mke wako katamaniwa na mwalimu wake halafu hapo ni mqaka qa mwisho, wewe kama mme wake utafanya nini??

Happ unakuta mke wako hilo somo kwake ni gumu mno, haliwezi, na mwalim wake kamwambia njia moja ya kutoboa ni kumla.

Navuta picha tu kwa wale wenye wake zao vyuoni
 
Mnajipa siteresi zisizo na sababu bure tu. Asipotandikwa na ma lekchara atatandikwa na wanafunzi wenzake. Na kama umeoa mwanamke wa kuchapwa nje utachapiwa tu hata uwe unamfungia kwenye jokofu!

#KuchapiwaHakuepukiki [emoji818][emoji818][emoji818]
 
Nmekosa cheti kwa mambo haya haya .. mwaka wa mwisho kabisa[emoji26]
Na usomi wako wote ulishindwa kweli kupambania haki yako? Mitihani yako yote ingesahihishwa na mwalimu mwingine ikibidi wa nje ya chuo asiyejua kinachoendelea na mbichi na mbivu zingejulikana tu. Yote kwa yote pole sana. Wanawake mnapitia mambo mengi sana!
 
Mtoa mada kama vile hiyo scenario ni yake na mke wake. Sasa mke wake anajaribu kumshawishi aliwe ili afaulu. Na hapa mtoa mada ameshaingia mkenge sema vile anatafuta uhalalisho. Ndio maana nimemcheka.
Kweli aisee. Watu wengi hapa huandika kuhusu mambo yanayowahusu lakini ili kukwepa aibu wanajitoa na kutumia nafsi ya tatu...Jamaa tayari keshachapiwa na malekchara dah!
 
Let me share my experience...

We met akiwa bk kabisa and alimaliza UDOM.

Honestly sikuwahi kuamini alipokuwa ananiambia hajawahi kusex until we met ndio nikawa suprised.

Ni mtu ambaye akikatiza hapa lazima udate maana amebeba.

Alishanisimuliaga masaibu yake ya chuo kutongozwa na baadhi ya walimu wake lakini aliweza kuhandle.

Alikuwa anahandle kwa kuyafikisha malalamiko yake kwa wafanyakazi wengine wa chuo ambao kwa upande mmoja au mwingine waliweza kumsaidia na hakupata tatizo lolote katika masomo yake mpaka anamaliza chuo.

I think kilichomsaidia pia ni ujasiri wake wa kuweza kumface mtu...
 
I think watu wengi pia wanachokosea ni kutengeneza ushahidi in case kama mambo yatakulalia....


Keep records zinasaidia sana....
 
Na usomi wako wote ulishindwa kweli kupambania haki yako? Mitihani yako yote ingesahihishwa na mwalimu mwingine ikibidi wa nje ya chuo asiyejua kinachoendelea na mbichi na mbivu zingejulikana tu. Yote kwa yote pole sana. Wanawake mnapitia mambo mengi sana!
Mkuu asante sana, chuo nilichosoma huyo Professor ndiye nguzo na tegemezi kwa hicho kitivo pamoja na hilo somo kati ya anayofundisha.

Kwanza hakuna pa kumpeleka maana huko kote hukutana na wanafunzi wake.. sana sana tu mtu anaishia kudisco..

Anyway akiamua kuniachia npate cheti changu fresh tu
 
Kweli aisee. Watu wengi hapa huandika kuhusu mambo yanayowahusu lakini ili kukwepa aibu wanajitoa na kutumia nafsi ya tatu...Jamaa tayari keshachapiwa na malekchara dah!
Kwa akili ya huyo mke wake kachapiwa sana hadi na group members wa makundi ya assignment.
Hivi kweli mtu unaanzaje kufikiria njia ya wewe kufaulu ni kutoa uchi?.

Mimi kipindi nasoma nilikuwa na ugomvi na lecturer, na aliniambia sichomoki somo lake, halafu alikuwa ana somo 2nd year na 3rd year.
Nilichofanya nilisoma sana hayo masomo yake kiasi kwamba mtihani nilikuwa naujibu ipasavyo hadi yeye mwenyewe anakosa namna ya kunikosesha maana nimeweka majibu kama yalivyo kwenye madesa yake.
 
Unashindwa nini kupambania haki yako?

Umeliwa na Lecturer umepata ngoma utajisikiaje?

Akili za wadada walio wengi wanazijua wenyewe....
 
Mkuu asante sana, chuo nilichosoma huyo Professor ndiye nguzo na tegemezi kwa hicho kitivo pamoja na hilo somo kati ya anayofundisha.

Kwanza hakuna pa kumpeleka maana huko kote hukutana na wanafunzi wake.. sana sana tu mtu anaishia kudisco..

Anyway akiamua kuniachia npate cheti changu fresh tu
Hapana! Kama kweli ulikuwa umesoma vizuri na mitihani yake ukafanya vizuri hapana. Ungeenda hata TAKURURU. Hata kama ni kwa Mama Samia mwenyewe. Mbona angeshughulikiwa tu? Umeniangusha bana!
 
Hapana! Kama kweli ulikuwa umesoma vizuri na mitihani yake ukafanya vizuri hapana. Ungeenda hata TAKURURU. Hata kama ni kwa Mama Samia mwenyewe. Mbona angeshughulikiwa tu? Umeniangusha bana!
Ninasoma vizuri kabisa.. mbona mitihani yake mingine nmefaulu vizuri!

Kwa sasa nipo nafanya taratibu niweze kupata haki yangu .. nimeanza na ngazi ya chuo japokuwa wana kaupuuzi flani hivi cha kuogopa lecturers
 
Mwalimu awaye yeyote hana Umungu mtu na ni kosa kumtaka mwanafunzi wake, na ikitokea anapaswa kuwa mnyenyekevu, mwenye kijibembelezesha na hata akikosa na ibilisi apaswa kuomba radhi na maisha mengine yaendelee, kanuni ngazi zote ziko wazi ni nje ya miiko na maadili kutembea na mwanafunzi unaemfundisha.

Utopolo wa wanafunzi utawaponza, pumbavu kabisa wana simu janja, video, voicenote, recordings, chats na sms wanakwama wapi, toa onyo mwambie technology never lies be careful stop it.
Face them waambie au mwambie nakuhitaji sipendi yaharibike kwako au kwangu.

Haki bin haki walimu kaeni makini msiwe na namba wala kuchati na madent na ofisini msiwazoeshe hao madent. Pigeni mashine kibao kali zipo kitaa vyuo vya jirani na program zingine.

Kimeumana Takukuru wanakuja.

Loading......🔝🔜
 
Tumeoma mara kwa mara kero ya hawa walimu wa vyuoni wakiwa wanatumia silaha ya maksi kulala na wanafunzi.

Wanakuwa na nguvu ya kulala na mwanafunzi hata kama mwanafunzi hampendi, wanakuwa ma nguvu ya kulala na wanafunzi bila kulipia chochote zaidi ya kutoa maksi.

Sasa ikija kutokea mke wako katamaniwa na mwalimu wake halafu hapo ni mwaka wa mwisho kuna somo ni gumu kwake na ili kulipita ni lazima afanye ufuska, wewe kama mme wake utafanya nini kunusuru hii kitu, maana ukizembea hapo mkeo anaweza kuamua liwalo na liwe, Kasoma chuoni hapo miaka minne alafu safari iishie mwaka wa nne??,

Hapo inahitaji mwanamke mwenye msimamo kweli kweli kukwepa ama mume wake afanye maamuzi magumu kumnasua katika hii tamaa.

Navuta picha tu kwa wale wenye wake zao vyuoni
Akiwa kilaza atapelekwa kwa kitanda chap, bt km anaelewa anachojibu hata huyo lecturer wake atatamani amwambie huyo mwanafunzi wake amtafutie jitu la kumtoa marinda. Ukiwa chuoni elewa na fuata kilichokupeleka kuna wakati Mwl. anakosa ata cha kukusingizia na wakati mwingine anataka msaada tena kwa mwanafunzi wake. UKIWA KILAZA KITANDANI PANAHUSIKA, UKIWA KICHWA MWL HANA UJANJA KWAKO BALI ATAKULETEA CHUKI NA NONGWA TU.
 
Back
Top Bottom