Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa walimu wa chuo huwa ni wapumbavu sana, kuna muda nawaza huwa wanajisikiaje kukwamisha juhudi za mtu Lisa kakunyima papuchi?Nmekosa cheti kwa mambo haya haya .. mwaka wa mwisho kabisa😥
Wewe una mawazo kama yangu mkuu.Sema tu wanawake hawasemagi lakini mimi ikatokea akaniambia binafsi huyo jamaa nitamalizana nae kiume na wife atamaliza salama mtihani wake.
Mimi ndomaana huwa nasema kabisa, nikishamuoa mwanamke like nitakachomkuta nacho ndo hichohicho, mambo ya kwenda sijui kuongeza elimu ili apate masilahi makubwa, kwanza masilahi ya nini?Mtoa mada kama vile hiyo scenario ni yake na mke wake. Sasa mke wake anajaribu kumshawishi aliwe ili afaulu. Na hapa mtoa mada ameshaingia mkenge sema vile anatafuta uhalalisho. Ndio maana nimemcheka.
Yani upuuzi wa mjinga mmoja ana nyege zake na hataki kusoma abebeshe matusi kama watu wote waliosoma Kofi husika kuwa walifaulu kwa njia hiyo, mxxxieeew nimechukia kama kozi yenyewe naijua na niliisoma!!Mtoa mada kama vile hiyo scenario ni yake na mke wake. Sasa mke wake anajaribu kumshawishi aliwe ili afaulu. Na hapa mtoa mada ameshaingia mkenge sema vile anatafuta uhalalisho. Ndio maana nimemcheka.