Mkeo akitamaniwa na mwalimu wake wa chuo utafanya nini?

Mkeo akitamaniwa na mwalimu wake wa chuo utafanya nini?

Sema tu wanawake hawasemagi lakini mimi ikatokea akaniambia binafsi huyo jamaa nitamalizana nae kiume na wife atamaliza salama mtihani wake.
 
Kikubwa wanawake tuache urahisi wa maisha wanaume nao wanaangalia ni ngumu sana mwalimu kudeal na mwanafunzi ambaye yuko serious na ratiba zake imagine unavaa zako nguo za heshima,unahudhuria class daily huoneshi dalili za kujitongozesha huyo mwalimu mnakutana sa ngapi?lakini unavaa nguo za mitego,kusoma hutaki unasubiri mwalimu akupe za makeup,unakaa kimitegomitego unategemea nini?
N.B unaweza tongozwa under normal circumstances lakini kama unajitambua na sio mtu wa slope unaweza kuhandle
 
Nmekosa cheti kwa mambo haya haya .. mwaka wa mwisho kabisa😥
Hawa walimu wa chuo huwa ni wapumbavu sana, kuna muda nawaza huwa wanajisikiaje kukwamisha juhudi za mtu Lisa kakunyima papuchi?
 
Yani kwamba kwa kuwa amekwambia unafkr ndo haliwi na wengine wasio walimu wa chuo?

ANAKUTENGENEZA MTENGENEEEEZO MMOJA SAAAAF SANA!!
 
Punguza hofu mkuu,ukianza kuwaz hayo utachoka mana kila sehemu wanaume wapo na wanatamaa,si malekchara pekee.

Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
 
Mtoa mada kama vile hiyo scenario ni yake na mke wake. Sasa mke wake anajaribu kumshawishi aliwe ili afaulu. Na hapa mtoa mada ameshaingia mkenge sema vile anatafuta uhalalisho. Ndio maana nimemcheka.
Mimi ndomaana huwa nasema kabisa, nikishamuoa mwanamke like nitakachomkuta nacho ndo hichohicho, mambo ya kwenda sijui kuongeza elimu ili apate masilahi makubwa, kwanza masilahi ya nini?

Awe abalipwa 300K hizohizo zinamtosha na ikibidi namuachisha kabisa kama ni hizi kazi za kipumbavu, ukishaamua kumruhusu mwanamke awe mtafitaji sawa na wewe kwa asilimia zote basi inabidi ukubali na changamoto atakazokutana nazo.Kama hapo jamaa utakuta anaruhusu mke wake apitwe na lecture🤕.

NB:Afu acha kuwazia maswala ya mke wako kuliwa, kama ni wakuliwa ataliwa tu hata na wanafunzi wenzake.We mpe kauli moja tu "Mama fulani usije kuniletea magonjwa" ili awe anakumbuka kusisitiza condom.
 
Kwamba wote wakiifaulh hill somo wamevua chupi?

Ila watu mna dharau uwezo wa wengine kipuuzi sana.
Ndo mkeo alivokwambia hivo, kuwa CW ya hilo somo ni kukutanisha vikojoleo?

Na umeamini?
Hivi sheria za chuo, Senate, external examiners, faculties scores, by laws zoooote hazipo kiasi somo hilo liwe linafaulika kwa ngono??
 
Mtoa mada kama vile hiyo scenario ni yake na mke wake. Sasa mke wake anajaribu kumshawishi aliwe ili afaulu. Na hapa mtoa mada ameshaingia mkenge sema vile anatafuta uhalalisho. Ndio maana nimemcheka.
Yani upuuzi wa mjinga mmoja ana nyege zake na hataki kusoma abebeshe matusi kama watu wote waliosoma Kofi husika kuwa walifaulu kwa njia hiyo, mxxxieeew nimechukia kama kozi yenyewe naijua na niliisoma!!
 
Back
Top Bottom