Mkeo ana bodaboda wake?

Wenyewe tumeshaelewa,
 
Mumeo/boyfriend unampa kadi ya ATM?
Hata password mume Hana, Hawa dada zetu na wake zetu, royalty kwa mwanaume ni kitu kikubwa Sana kwenye mahusiano kuliko hata sex, hawajui kiini kikubwa na mume kutokukujali ni pale anapoona royalty iliyotakiwa kuwa kwake imehamishiwa kwa mwanaume mwingine.
 
m mwenye nna jirani yangu analiwa na bodaboda na mme wake ni mwalimu mpaka mwalimu kuja kushtuka ameshaliwa sana,popote atakapoenda lazma amwite bodaboda wake
 
Kuna jamaa kamnunulia mkewe gari mbili
Still mmama gari hatumii
Kazi kumtuma boda Tu..
Na akilewa usiku bar boda ndo anamfata
Jamaa yupo nje ya nchi
Mhhhh!!!, huyo boda atakuwa anamfukunyua huyo mwanamke kwa raha zote.
 
Boda boda wangu ninae nampa ATM kadi anatoa hela kwa uaminifu wote, namtuma sokoni namtuma popote, kwa kifupi bodaboda wangu ni zaidi ya ndugu yangu.
Hata ukimwambia akusubiri uoge kwanza huwa anakusubiri [emoji2957],Tena anakaa Sebuleni huku macho ameelekeza chumbani kwako, nawe unapita mbele yake na kanga moja.Aisee Kweli bodaboda wako ni mtu safi sana [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Haya, Mwaminifu eenhh??!!, Ngoja akupenyezee mhogo wake halafu uje urudi hapa ukimsifia kuwa anajua Mapenzi kuliko Baby wako.
 
Sasa ndio wanaume wajue wanawake wanapenda mtu anayewajali ,wanyenyekea na kuwaonyesha upendo kidogo tu.Utakuta mwanaume uliyenae hicho kitu hakipo wanafikiri akikupa hela au gari ndio mapenzi .Waume zetu wajitafakari sana
Unatema big G kwa karanga za kuonjeshwa, ukipata fahamu unajikuta tayari ushapotea.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwahiyo haya maelezo yako yanahusiana na boda boda kupendwa na mashoga? Khaaaaaah.
Mbna unajibu usicho ulizwa, uwiiiiih

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…