Mkeo ana bodaboda wake?

m mwenye nna jirani yangu analiwa na bodaboda na mme wake ni mwalimu mpaka mwalimu kuja kushtuka ameshaliwa sana,popote atakapoenda lazma amwite bodaboda wake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Mimi siumii,lkn ukishanogewa Kuna siku mumeo atakufumania na utakuja hapa kulia lia.
Sasa Mkuu wewe una huruma sana na mimi au unahurumia seva za Maxence Melo? Tusipopatwa na madhila tukaja kulia hapa mtaconsume content gani?
 
Hahaha Umenikumbusha mbali
 
Duuh
 
Hahaha
 
Umeliwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…