Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Mkuu usione kama nakutisha ila I am preparing u so when it happens u don't jump infront of a moving train mzee wangu😃😃😃Duuh noma kwel
Huyu work mate ajui kuwa mafuta yamepanda kweli
Ww oa Tu Mdg Wangu. Halafu Good sex doesn't keep woman from straying... Ooooh Sjui nampiga bao6 Kila siku 😆😆😆Unaoa ili ugundue nini? Kila siku ma bro wanalalamika mikasa ya ndoa halafu nikaoe kweli hapo si kujichimbia kaburi tu.
Sitishiki mzee wangu........ nashukuru kwa alert yakoMkuu usione kama nakutisha ila I am preparing u so when it happens u don't jump infront of a moving train mzee wangu😃😃😃
Kuna ukweli ambao watu wengi na wajinga wengi wanaukataa aidha kwa kujua au kutokujua, ila kwenye huo ukweli ndiyo salama ilipo.Mazee Tuelewe kwamba One thing everybody is capable of cheating
.
Kwa Maana KAmBa What u see happening in the office and at the workplace with ur female colleagues is what happens at ur wives' workplace Mzee Baba.
.
Hii picha inaleta ujumbe sahihi niliousema hapo Juu, Huku maofisini Watu wanajunjana Sana
View attachment 2212743
Sasa wewe ndiyo unajifariji, mwanamke yeyote hata aokoke vipi ukimuweka karibu na jinsia ya kiume lazima uchafu utokee. Wangapi huko makanisani wanafanya uchafu ?unfortunately, kuna utani hadi wa kushikanashikana na kufanyiana ujinga maofisini, kimyakimya. mwisho huwa wanaenda guest/hotel za mchana. na wakati huohuo utakuta kuna wanaume wanawazuia wake zao wasiokoke na kumpokea Yesu Kristo, mke asiyeokoka anafanywa lolote, hata hao waliookika kama wanafanya ni wachache.
wapo waliobadilishwa na Mungu, mioyo yao haina uzinzi. wanashinda dhabi ya uzinzi.Sasa wewe ndiyo unajifariji, mwanamke yeyote hata aokoke vipi ukimuweka karibu na jinsia ya kiume lazima uchafu utokee. Wangapi huko makanisani wanafanya uchafu ?
Hapa siyo tu kuokoka bali jinsia hizi mbili zisikae karibu.
Mkuu usione kama nakutisha ila I am preparing u so when it happens u don't jump infront of a moving train mzee wangu😃😃😃
Anajua marekani bei ni ghali mara tano ya tzHuyu work mate ajui kuwa mafuta yamepanda kweli
Kwanini unajidanganya namna hii ?wapo waliobadilishwa na Mungu, mioyo yao haina uzinzi. wanashinda dhabi ya uzinzi.
Wooozaaaa.... Watu EitiMzee wa linguistic
Nyie ndio mnaopeleka Mishahara Yenu yote Kanisaniwapo waliobadilishwa na Mungu, mioyo yao haina uzinzi. wanashinda dhabi ya uzinzi.
Wooozaaaa.... Watu Eiti