Mkeo anavyomegwa na Wafanyakazi wenzao ofisini

Mkeo anavyomegwa na Wafanyakazi wenzao ofisini

Huyo demu ni Evelyn namjua kwenye picha [emoji38][emoji38]
 
unfortunately, kuna utani hadi wa kushikanashikana na kufanyiana ujinga maofisini, kimyakimya. mwisho huwa wanaenda guest/hotel za mchana. na wakati huohuo utakuta kuna wanaume wanawazuia wake zao wasiokoke na kumpokea Yesu Kristo, mke asiyeokoka anafanywa lolote, hata hao waliookika kama wanafanya ni wachache. mtu asipokuwa na Mungu moyoni, hakika unamegewa kwasababu hakuogopi wewe hata siku moja anamuogopa Mungu. sisemi kwa kusikia, hata zamani mimi mwenyewe nimefanya mengi sana kwa wake za watu maofisini kwetu. shida ni kwamba, we spend most of the time with your wives, kuliko wewe unayespend naye time jioni na usiku mnalala. wafanyakazi wanaspend time na wake zenu kuanzia saa mbili asubuhi hadi saa tisa, wapo macho, wanaongea, wanataniana, utani mwingine wa kizinzikizinzi, wanasaidiana, wanabadilishana upendo,wanapendana n.k. kuna kipindi kwamfano hao waandishi wa habari wa radio walikuwa wanapukutika kwa ngoma radio nzima, wanaambukizana kwenye zile night...kesho yake wanazungushana wao kwa wao hadi kituo kizima kinaathirika. sitaki kutaja majina.
Hatari sana
 
Kuna ukweli ambao watu wengi na wajinga wengi wanaukataa aidha kwa kujua au kutokujua, ila kwenye huo ukweli ndiyo salama ilipo.

Ni kosa kubwa sana kuwachanganya viumbe hawa wawili sehemu yoyote ile unayoijua wewe. Kinyume chake mtakuwa mnajifariji tu.
Uislam una hekima sna mkuu
 
Mazee Tuelewe kwamba One thing everybody is capable of cheating
.
Kwa Maana KAmBa What u see happening in the office and at the workplace with ur female colleagues is what happens at ur wives' workplace Mzee Baba.
emoji1787.png
emoji1787.png

.
Hii picha inaleta ujumbe sahihi niliousema hapo Juu, Huku maofisini Watu wanajunjana Sana

View attachment 2212743
Kumbe maofisini mnagegedana sana
 
Kuna ukweli ambao watu wengi na wajinga wengi wanaukataa aidha kwa kujua au kutokujua, ila kwenye huo ukweli ndiyo salama ilipo.

Ni kosa kubwa sana kuwachanganya viumbe hawa wawili sehemu yoyote ile unayoijua wewe. Kinyume chake mtakuwa mnajifariji tu.
Kwa hiyo mzeeya ni kwamba wanawake wanatudanganyaga wapo sema he is just a frend
 
Unaoa ili ugundue nini? Kila siku ma bro wanalalamika mikasa ya ndoa halafu nikaoe kweli hapo si kujichimbia kaburi tu.
🤣 🤣 🤣 🤣dogo tafuta mwanamke uoe usihangaike sana na vitu vinavyotakata na maji na sabuni! ndoa ni zaidi ya taasisi tendo la ndoa ni kitu kidogo sana by the way huwa havijai na wala penseli yako haiishi na haichongwi vumilia tu.
 
Sio kutishana Ila nowadays it's hard to find under 37 year old married woman who hasn't been fckd outside marriage Aiseeeeeh
Tatzo n kwamba wale wachache wanaokuwa s waaminifu mmewabebea bango, na kuwafanya wale waaminifu wasionekane tena.

Ubaya ukipigiwa debe ndyo mnaukuza na kuufanya usambae kwa kias kikubwa , jarbuni kutambua uwepo wa waaminifu na s kumuona kila mtu n msaliti.
 
🤣 🤣 🤣 🤣dogo tafuta mwanamke uoe usihangaike sana na vitu vinavyotakata na maji na sabuni! ndoa ni zaidi ya taasisi tendo la ndoa ni kitu kidogo sana by the way huwa havijai na wala penseli yako haiishi na haichongwi vumilia tu.
Kama naweza chakata mbususu hata kama sijaoa nioe ya nini? Kama naweza kupata watoto na sijaoa nioe iweje?
 
Sio kutishana Ila nowadays it's hard to find under 37 year old married woman who hasn't been fckd outside marriage Aiseeeeeh
Hizi hofu za mke kutoka nje huwa zinatokana na nn? Ukioa malaya si unamuacha? Ukiendekeza hizi hofu by 50 una kisukari.

Halafu, suala la kutooa kisa woga wa kushare, hata usipooa utakuwa na mpenzi atakayefanya ngono na wengine au utazaa na mwanamke atakayefanya ngono na wengine. Sasa tofauti yako na aliyeoa na mke wake kufanya ngono nje ni nn?

Sikilizeni, ndoa ni mkataba wa kisaikolojia tu, hakuna jambo tofauti zaidi ya saikolojia ya kujaribu kuikuza familia yako ndani ya wigo wa mwanamke mmoja lakini mwanamke ni yule yule, hata usipomuoa ukazaaa nae tu still hakuna tofauti na aliyeoa, Ndoa ikishindikana TOKA kwenye huo mkataba.

Kuhusu kupoteza mali na investment iwapo ndoa itavunjika, kabla ya kuingia mkataba wowote unaohusisha mali unatakiwa utumie akili sio mihemko.
 
ukioa kwa kiasi fulani umiliki unakuwa wako kipindi cha uzee kinahitaji faraga iliyoambatana na upendo kwa kuwa wakati huo kunauwezekeno raha si za msingi ila furaha ambayo inatengenezwa kwa muda mrefu.
Sawa bro ngoja nitafakari maneno hayo.
 
Back
Top Bottom