BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
[emoji23][emoji23]Mabafu yatashika mimba mwaka huu Azhan Jr lll
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23]Mabafu yatashika mimba mwaka huu Azhan Jr lll
Sijui alinionaje,niligundua alianza kunifuatilia kitambo sana!Mapenz ndivyo yalivyo ......Watu hubadilika
Moureen atakuponza baki na Nyetto.hapana, leo naenda bonyea pale mida flani ya bundi
Mbona kama unamuongelea demu wangu Frida 🤣Ananifurahisha sana alivo flexible kitandani karibu style zote anaweza ni swala tu la kuonesha ishara, huyo kabinuka nayo. Kingine ni mpishi mzuri sana, kuanzia maharage yenye tangawizi na nazi hadi maandazi ya chumvi na mchicha wenye karanga laiini. Hatari sana halafu ni pisi kali. Hajawahi kutumia k yake kama siraha hata muwe na ugomvi wa kujaa godauni zima
Kataa Nyeto, huko anabaki kuzo wako Joe NavarroMoureen atakuponza baki na Nyetto.
KATAA CHAPUTA
KATAA NYETO
Yaniiii acha kabisa udugu akee kuna wanaume ni wamebarikiwaaaaaa nyieee auwiiiiiiiiiiiii!!!
Kunaua nguvu za kiume huko, na mkonoUshaanza kampeni mpya kijana
NAKAZIA
Pole sana....watu hubadilika mkuu.....ongea nae myamalize labdaSijui alinionaje,niligundua alianza kunifuatilia kitambo sana!
Yaani hata kipindi nina mawazo au naumwa alikuja nambia kuhusu vipindi hivyo!!
Nilishtuka nikadhani ni mpelelezi nini!!
Halafua lijuaje kua sitomtelekeza akinibebea mzigo!!?I wonder!!
Namuona kashiba sasa!ni kama vile ananionyesha SASA anaweza ishi mwenyewe!!!
Wait mwingine nacheka KWA nguvu sana hata sielewi nini nifanye!
SASA;-
Action number 1.change working place ,two new work somewhere in Africa!seeing from a far!
Anajifanya haelewi somo.Ni wewe banaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
oya usinitag na hilo papai bana😂wako @Joe Navarro
Mwambie Ki2co anampa hi![emoji12] jamani
Acha kukimbia kama mtoto wa chekechea wewe.
Wewe si nilitaka kukupenda na hela zako ukakataa😂😂😂Hahahah kweli au unanipanga tu🤣? Naona mnainjoy sadaka zetu tu hapo
Puuu[emoji28]Tema tumchapee basi [emoji3]
Mwambie Ki2co anampa hi!