Sawa.Wewe ni malaya tu maana malaya tu ndio wenye sifa hizo maana yake siku akikosa hela hakuna upendo kwa maana hiyo wewe humpendi yeye ila unapenda pesa na akija mwenye pesa zaid unahamisha mapenz sasa hapo kuna mtu au kikoba
Watu wanateseka na yasiyowahusu 🤣🤣🤣Mbona anajua Bro?
Alivyokuwa ananitongoza aliniambia “mwanamke kama wewe sio wa kutembea na vijana ambao hawana hela , wewe ni wa kuwa na watu wenye hela kama mimi nitakupa kila kitu” . Nikamkubalia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umemjibu kikatilii mnoo. UwiiiiihMbona anajua Bro?
Alivyokuwa ananitongoza aliniambia “mwanamke kama wewe sio wa kutembea na vijana ambao hawana hela , wewe ni wa kuwa na watu wenye hela kama mimi nitakupa kila kitu” . Nikamkubalia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbeee, mbna ikaisha hewan sikuona hata reference.Ni ileilee ya juzi tsup udugu akee hata hakuna mpya!
Nilipotezea tyuu wanijua udugu akoo siwezagii kugombana lol!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbeee, mbna ikaisha hewan sikuona hata reference.
Watu wanateseka na yasiyowahusu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umemjibu kikatilii mnoo. Uwiiiiih
Nimechekaaa sanaa yaan [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sindioo[emoji23][emoji23]
🤣🤣🤣🤣🤣Na hapo unaweza kuta anadhani mke wake kampendea mapenzi[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaah
Siku akifulia unamuacha kwaiyo?Mimi bila kumung’unnya maneno nimempendea hela.
Kabisaaa uduguuuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watu na mawizo wetu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kabisaaa uduguuuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uduguu Mnitafutie namieee kwaniii msintanieeee 😄😄!Watu na mawizo wetu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mbavu zinaumaa miee, khaaaah.
Ule mpango kwa bro akoo unanifanyia liniiii?Watu na mawizo wetu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ule mpango kwa bro akoo unanifanyia liniiii?
Jitahidi basii wizo akee upwiru unakaba koo [emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]Ndio nipo kwenye process tulia wizo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Uduguu Mnitafutie namieee kwaniii msintanieeee [emoji1][emoji1]!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Limeisha uduguu wewe niambie tu aliyekuvutia nina ma bro wengi humu wako single [emoji1787][emoji1787][emoji1787]