Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aiseeh! Sawa kabisa vijana wa Dunguso...Ndio hilo hilo , zee la kazi, UMSOLOPAGAZI, duduKILA. π€£
Mtumishi wa umma kutoka mwanza...imekuja namba tu, samahani naongea na naniπ
ππumekosea namba kwakweli ,,uyo mtumishi nimemuona tu kwenye vyombo vya habariMtumishi wa umma kutoka mwanza...
πππ
Nenda hispitali kajitibu tu. Kama watataka P3 basi nenda Polisi karipotiHuyu bwana ni Mtumishi wa umma huko mwanza, ameng'atwa mdomo na Mkewe!
View attachment 2993935
Wee nikatae hivo hivo...ππumekosea namba kwakweli ,,uyo mtumishi nimemuona tu kwenye vyombo vya habari
π Lakini yule manzi nilikwambia sio we ukasema eti ni mtamu kwa kumuangalia tu πWee nikatae hivo hivo...
πππππ
Tutakutana mda wa msosi hapo hutakua na ujanja....
Hahaaaaa.Ivi icho kipande cha apo kwenye lips kitafaa kurudishiwa tena ? Au ndio mwamba anaenda kuwa na mdomo sungura.
anajicomfortabisha tuπππππππ
Kwanini apige picha vile alafu mbona kama yupo comfortable
Sasa kwenye Ishu kama ya Mziki na Mpira huwa hukuna βCONSEQUENCEβ Kubwa...Matokeo yake huwa ni Madogo au hayapo Kabisa.π Lakini yule manzi nilikwambia sio we ukasema eti ni mtamu kwa kumuangalia tu π
ππππππππππanajicomfortabisha tu
basi tuanze kujisiriousizishaππππππππππ
Anafanyaje πππππππππ
Watu hampo serious humu
Wasukuma wanasema ni Lavu Baiti. Nyie wa Dar mnasena kaumizwa.Huyu bwana ni Mtumishi wa umma huko mwanza, ameng'atwa mdomo na Mkewe!
View attachment 2993935
His lips were so sweet to munch,perhaps. πJamani mbona katolewa lips kabisa, sababu ni nini au utamu kolea wakang'ang'aniana midomoπ€
HUU ujinga siupendi kishenzi Oo nimepeleka Simu kwa fundi imekuja Namba ngeni natumia Simu ndogoimekuja namba tu, samahani naongea na naniπ