Mkeo au Mumeo akikufanya hivi, utachukua hatua gani?

Mkeo au Mumeo akikufanya hivi, utachukua hatua gani?

Oyaaa weeee,,sasa mifano migumu io unanipa mimi kweli 🤣😂🙌🏾,, nan alokwambia mimi n shabiki wa ivo vitu,yaniii umepgia mbuzi gitaa
Sasa kwenye Ishu kama ya Mziki na Mpira huwa hukuna “CONSEQUENCE” Kubwa...Matokeo yake huwa ni Madogo au hayapo Kabisa.

Yaani...

Wewe hata kama Ukisema Zidane ni BORA kuliko Kelvin De Bruyne huwezi Kupata Madhara yoyote yale kwenye Maisha yako.

LAKINI... 😂😂😂😂😂
 
Huyu bwana ni Mtumishi wa umma huko mwanza, ameng'atwa mdomo na Mkewe!
View attachment 2993935
🤣🤣 sorry kipande cha hapo huyo mkewe kapeleka wapi au kameza?

Haya mapaa ya nyumba yanaficha mengi sana hizi haki sawa wanawake hawajui kuzitumia

Kama hadharani ni hivyo je chumbani?

Mi bora niende jela ila nihakikishe kawa kilema yaani kila aendepo abebe gongo kwa ajali ya support naamini hadi kaburini hatonisahau
 

Attachments

  • IMG_0591.jpeg
    IMG_0591.jpeg
    279.3 KB · Views: 2
Oyaaa weeee,,sasa mifano migumu io unanipa mimi kweli 🤣😂🙌🏾,, nan alokwambia mimi n shabiki wa ivo vitu,yaniii umepgia mbuzi gitaa
Hiyo ni mwanzo tu..
Kuw hata mi naweza ku mix mambo 😂😂😂😂😂😂
Gitaa hapana mi situmiigi hiyo
 
Back
Top Bottom