Mkeo au mumeo akiwa na simu kubwa na kile kidogo(kiswaswadu) kaa nacho mbali usiseme sijakwambia

Mkeo au mumeo akiwa na simu kubwa na kile kidogo(kiswaswadu) kaa nacho mbali usiseme sijakwambia

ommytk

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2015
Posts
520
Reaction score
1,143
Tangazo muhimu kwa wote ukiona mumeo au mkeo ana simu mbili moja kubwa touch alafu ana kile kidogo maarufu kiswaswadu yes kiswaswadu kaaa nacho mbali mnooooooooo utakuja nishukuru usikiguse narudia kaaa nacho mbali mnooooooo usije sema atukukwambia
 
Tangazo muhimu kwa wote ukiona mumeo au mkeo ana simu mbili moja kubwa touch alafu ana kile kidogo maarufu kiswaswadu yes kiswaswadu kaaa nacho mbali mnooooooooo utakuja nishukuru usikiguse narudia kaaa nacho mbali mnooooooo usije sema atukukwambia
Mimi na mke wangu tunashare simu kila mmoja ana simu mbili,na kila simu password tumeshea hakuna usiri wala nini tuko freee sana
 
Mtu kama masau bwire atakuwa Malaya sana yule jamaa ana simu kibao hata 7 zinafika ...
Sio sahihi kuhukumu hivyo,mimi nina line zote nimegawa mafungu simu zangu kama wizara ,hii waumini wenzangu kanisani hii watoto mke, wakwe, wazazi, hii marafiki, hii wajasiliamali wenzangu,hiii tuliosoma naoOndoeni hofu! Ngawa kwa wengine ni hatari anamakundi mengine ni mbadala!
 
Hii ni kweli mm imeshawahi nikuta sipendi kushika simu yake ila kuna siku aliicha kisa haina chaji umeme ukarudi nikasema ngoja niichaji nikawasha ile nafungua simu meseji kama mvua Tobaaaa nilimuacha siku iyo iyo La haula hawa wanawake mioyo yao inabeba mengi akisalimika kazini na mabosi ujue sehemu za kuomba kazi mara madeni aisee nimeapa sitagusa tena simu tena ingawa sina tabia hiyo ile ilikuwa ajali
 
Utakuwa huna mitandao yote,kiswaswadu hakiishi chaji haraka na ni rahisi kutumia kuliko hizo smartphone zenu kutwa kwenye chaji kama mtoto aliyedungwa sindano maumivu yake unambembeleza kwa nyonyo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi na mke wangu tunashare simu kila mmoja ana simu mbili,na kila simu password tumeshea hakuna usiri wala nini tuko freee sana
Itakuwa ww ni mfano mzuri wa kuigwa

mama D

Ukiwa na mke au mume halafu ukawa na vijitabia vya kuficha simu au password za simu yako au account yako ya bank bado hujapata mwenza sahihi. Ukiona hivyo heri utoke nje ya uwanja upate nafasi ya kujitafuta upya
 
Ukiwa na mke au mume halafu ukawa na vijitabia vya kuficha simu au password za simu yako au account yako ya bank bado hujapata mwenza sahihi. Ukiona hivyo heri utoke nje ya uwanja upate nafasi ya kujitafuta upya
100%

Ila unafanya hivyo kweli, mama D ? Because, usikute unatufundisha vitu vigumu ama visivyo practical jamani.
 
100%

Ila unafanya hivyo kweli, mama D ? Because, usikute unatufundisha vitu vigumu ama visivyo practical jamani.

Muulize shemeji yako hapa😃😃😃
Haiji kirahisi, inahitaji imani na sacrifice. Na zaidi inahitaji kila mmoja wenu awe na mchango kwenye mahusiano kijamii, kihisia hata kiuchumi sio unadai account ya mtu wakati wewe huna unalofanya kuiimarisha. Tumevuka vihunzi vingi na hicho kikiwa kimojawapo
 
Tangazo muhimu kwa wote ukiona mumeo au mkeo ana simu mbili moja kubwa touch alafu ana kile kidogo maarufu kiswaswadu yes kiswaswadu kaaa nacho mbali mnooooooooo utakuja nishukuru usikiguse narudia kaaa nacho mbali mnooooooo usije sema atukukwambia

Wajanja tunakiachaga ofsini kwenye droo au kwenye gari yaani hkitakiwi kionekane
 
Muulize shemeji yako hapa😃😃😃
Haiji kirahisi, inahitaji imani na sacrifice. Na zaidi inahitaji kila mmoja wenu awe na mchango kwenye mahusiano kijamii, kihisia hata kiuchumi sio unadai account ya mtu wakati wewe huna unalofanya kuiimarisha. Tumevuka vihunzi vingi na hicho kikiwa kimojawapo
Nitumie namba yake PM nijiridhishe.
 
Tangazo muhimu kwa wote ukiona mumeo au mkeo ana simu mbili moja kubwa touch alafu ana kile kidogo maarufu kiswaswadu yes kiswaswadu kaaa nacho mbali mnooooooooo utakuja nishukuru usikiguse narudia kaaa nacho mbali mnooooooo usije sema atukukwambia
Kuna watu wanaishi maisha magumu sana kwa sababu wameruhusu kuendeshwa na Shetani.
 
Back
Top Bottom