Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Muoee utajua kuwa ni Namba Mbili iliyokomaaa...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ahahaha labda bado yupo kwenye kampeni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muoee utajua kuwa ni Namba Mbili iliyokomaaa...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ndipo utapojua nae ni namba 2+Aiseeee ninaye kundi namba moja. She is so humble. In fact ana sifa zoote za wife material ninazozitaka.
Mwakani akimaliza tu chuo navuta ndani...
Namba mbili wapo wengi balaaa
Nilivyooa ndo nikathibitisha ukweli wa kuwa mwanamke hakosei ukitaka Vita na mkeo wewe mwambie kakosea sehemu flani...
Wife bwana chochote unachomwambia ameteleza ujue lazima atakirudisha kwako mpk saivi imebidi uwe utani tu
Mke maji ya kunywa ulikumbuka kuchemsha? mtu mwenyewe hata nikichemsha hunywi.[emoji3][emoji3]
Nimerudi zangu home saa 7mchana badala ya saa 9/10 niliyozoea kurudi.Mke chakula tyr?Mke :Bado,mtu mwenyewe wewe hutabiriki unarud sa ngap nilichelewa kidogo kupika.
Mke umesahau kumpigia mama ulisema utaongea nae leo?wewe huyo hujanikumbusha...[emoji38][emoji38][emoji38]
Mimi:mke punguza sauti ya TV Kuna kazi inachanganya nahitaji umakini kdg,wewe hata ukiwa free hupendi niangalie movies za kikorea...
Mke chumvi leo imezidi kdg wewe huyo unakuja kunipigisha story wakati napika [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimeamka zangu asubuh najiandaa kwenda kwenye mishe nikaanzisha story mke umeamka tyr?mbona mapema?Wewe huyo unazunguka zunguka chumbani mpk usingizi umekata
Juzi kadondosha grass ya maji mi nikageuka tu nikamuangalia nikampa pole nikasikia wewe huyo unaniangalia sanaaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Maskini hata hajui keshazoea mi saivi akiboronga namwambia sio kosa lako mi Mimi huyo nimesababisha,anachekaaaa balaaa[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Kuna tofauti kubwa Kati ya maisha ya upenzi na maisha ya ndoa, ndio maana Mambo hubadilika automaticallywanawake wote kabla ya ndoa wapo kundi la 1 bt after ndoa 3/4 wote hurudi kundi la pili, ni kubahatika pekee ndo kunaweza kukupa mke wa kundi la kwanza, kupata mke wa kundi la 1 ni zaidi yakucheza kamari.
wakat wa upenzi mara nyingi wahusika huficha tabia zao halisi bt after ndoa hudhihiri coz ni ngum kuigiza tabia daimaKuna tofauti kubwa Kati ya maisha ya upenzi na maisha ya ndoa, ndio maana Mambo hubadilika automatically
Plus majukumu pia na kuishi pamoja, na kiukweli wanawake wakishapata watoto akili zetu tunahamia kwenye kuwekeza future za watoto zaidi, sasa Mimi nikae tu niwe nakubali ndio ndio ndio, hata Kama unakosea ili mradi upate peace of mind ,huku Mambo hayaendi Basi nitakuwa zuzuwakat wa upenzi mara nyingi wahusika huficha tabia zao halisi bt after ndoa hudhihiri coz ni ngum kuigiza tabia daima
Anafanya utani nadhani
Huyo mkeo anafaa sana kuanzisha nae TV Series. Bora umemjulia aisee! Maana ukishindana nae unakula K.O mapema sana.
Hahahahah you have yourself a patner and a friend for life! Mwanamke ambaye yuko flexible namna hio ni lulu...Hamuwezi kuchokana haraka maana yuko responsive sana.🤣🤣🤣🤣 wish you best of luck mzee hasa kama hatobadilika akipata watoto.Yaani anajua kunitetea balaa hata ukimkuta hana mood ukimuuliza anakwambia umekuja serious sana ndo mana na yeye kawa serious[emoji31][emoji31][emoji31][emoji31][emoji31][emoji31]
Mimi demu akiwa siyo wa kishua halafu siyo Ombaomba basi huwa namuheshimu sana.Ndipo utapojua nae ni namba 2+
Mnakomenti kwenye uzi wa kula k kimasiharaMabachela tunakomenti wapi
Ndivyo inavyotakiwa kuishi na utani inanogaNamba mbili wapo wengi balaaa
Nilivyooa ndo nikathibitisha ukweli wa kuwa mwanamke hakosei ukitaka Vita na mkeo wewe mwambie kakosea sehemu flani...
Wife bwana chochote unachomwambia ameteleza ujue lazima atakirudisha kwako mpk saivi imebidi uwe utani tu
Mke maji ya kunywa ulikumbuka kuchemsha? mtu mwenyewe hata nikichemsha hunywi.[emoji3][emoji3]
Nimerudi zangu home saa 7mchana badala ya saa 9/10 niliyozoea kurudi.Mke chakula tyr?Mke :Bado,mtu mwenyewe wewe hutabiriki unarud sa ngap nilichelewa kidogo kupika.
Mke umesahau kumpigia mama ulisema utaongea nae leo?wewe huyo hujanikumbusha...[emoji38][emoji38][emoji38]
Mimi:mke punguza sauti ya TV Kuna kazi inachanganya nahitaji umakini kdg,wewe hata ukiwa free hupendi niangalie movies za kikorea...
Mke chumvi leo imezidi kdg wewe huyo unakuja kunipigisha story wakati napika [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimeamka zangu asubuh najiandaa kwenda kwenye mishe nikaanzisha story mke umeamka tyr?mbona mapema?Wewe huyo unazunguka zunguka chumbani mpk usingizi umekata
Juzi kadondosha grass ya maji mi nikageuka tu nikamuangalia nikampa pole nikasikia wewe huyo unaniangalia sanaaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Maskini hata hajui keshazoea mi saivi akiboronga namwambia sio kosa lako mi Mimi huyo nimesababisha,anachekaaaa balaaa[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Muoe mchepuko uone atavyokuwa namba mbiliMke no 2
Mchepuko no 1
Hapa nipo hata sielewi,ndoa naifanyaje hiii.
Hamna stress mbaya kama uwe na namba 1 halafu awe mama huruma 🤣🤣🤣!Mke wangu yuko kundi la kwanza ila ana mambo flan flan ambayo nnajitahd kuyapuuza sababu siku nikiyafuatilia kiundani nadhani itatakiwa niwe nishapata mbadala wake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]anafaa huyuYaani anajua kunitetea balaa hata ukimkuta hana mood ukimuuliza anakwambia umekuja serious sana ndo mana na yeye kawa serious[emoji31][emoji31][emoji31][emoji31][emoji31][emoji31]
umemaliza kila kitu mkuuPlus majukumu pia na kuishi pamoja, na kiukweli wanawake wakishapata watoto akili zetu tunahamia kwenye kuwekeza future za watoto zaidi, sasa Mimi nikae tu niwe nakubali ndio ndio ndio, hata Kama unakosea ili mradi upate peace of mind ,huku Mambo hayaendi Basi nitakuwa zuzu
Wanawake sisi wengi au karibia wote ni namba moja kabla hatujaolewa tukiolewa ni namba mbili Ila tu tunazidiana viwango