Hahhaaaaa hadi raha sana nimependa comment hiiOkay, umzidi hadi uzuri na chura[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu umenena vyema,Mimi mke wangu ana digrii,lakini namdhibiti sana kwa kila kitu,na heshima kwangu ni kubwa,pointi kubwa uliyosema mwanamke unapaswa umzidi akili/uelewa basi, hata kama ana masters mianane na magari mia lazima atakupigia magoti,sio mwanamume umekaa ka zombie harafu unataka heshima kwa mke wako.Cha msingi kumzidi akili, na sio akili ya darasani
Mwanaume unatakiwa kuwa na uelewa mkubwa kuliko mke wako.
Big brain matter more.
Hayo ya hela, urefu, umaarufu ni yake mm hata awe nayo kwangu lazima anyenyekew tu, kwani Muhuni kupenda kupitiliza without special thing hiyo kitu sinaga hata awe mzur kama malaika, au Rihana anafunzwa maisha kama kawa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu umenena vyema,Mimi mke wangu ana digrii,lakini namdhibiti sana kwa kila kitu,na heshima kwangu ni kubwa,pointi kubwa uliyosema mwanamke unapaswa umzidi akili/uelewa basi, hata kama ana masters mianane na magari mia lazima atakupigia magoti,sio mwanamume umekaa ka zombie harafu unataka heshima kwa mke wako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee baba hii ni point Kubwa sanaMwanamke anaweza kukuzidi pesa, ila ukatumia akili ukamiliki wewe hizo pesa na heshima ikawepo, ila ukiwa boya boya ndio hivyo tena utaishia kudeki, na kuosha vyombo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiongozi upoNimekusoma mkuu... Ila me hilo swala LA elimu hata siliwazii.... Ye hata akiwa na madegree 10 me nina kadiploma changu ila nimemzidi mkwanja fresh sanaaaa
Heshima ni misimbazi tu na various assets unazomiliki..
Quote tayariiiiiiiii
We jamaa hahahahaumeeleweka mkuu, mie ndio maana nasema tunakosea sana tena sana kuwapa vyeo wanawake, mwanamke anatakiwa kuwa msaidizi tuu never a leader sasa vitengo tunawapa wanawake waongoze hiyo kwangu mie hapana kabisa, ata wamerekani waliona bora rais kichaa lakini sio mwanamke aongoze nchi. mie naenda kuoa standard seven wangu cha msingi mauno yawepo .
Nipo kiongozi leta maneno
Ukioa mauno utazaa wakata mauno but with zero brain . bora mwanamke jeuri atakaenizalia big brain children. Sipendi mke aje anizalie watumwa Wa jamii ninayoishi. Kila mtu na kipaumbele chake .umeeleweka mkuu, mie ndio maana nasema tunakosea sana tena sana kuwapa vyeo wanawake, mwanamke anatakiwa kuwa msaidizi tuu never a leader sasa vitengo tunawapa wanawake waongoze hiyo kwangu mie hapana kabisa, ata wamerekani waliona bora rais kichaa lakini sio mwanamke aongoze nchi. mie naenda kuoa standard seven wangu cha msingi mauno yawepo .
Ukioa mauno utazaa wakata mauno but with zero brain . bora mwanamke jeuri atakaenizalia big brain children. Sipendi make aje anizalie watumwa Wa jamii ninayoishi. Kila mtu na kipaumbele chake .
Sent using Jamii Forums mobile app