Watanzania wanajua Kuwa watoa lawama fikra nje na hapo hazipo kabisa!
Ni Kiashirio tosha kuwa PT wapo Kazini Kinafiki.Nini sasa hiki?
Huwezi kupewa taarifa za kiintelijensia kihivyo ndugu.. sisi Kama wananchi yatupasa pia kutii maagizo ya kiusalama.. huwezi ambiwa Kuna nini.Kwa sababu taarifa haitoi ufafanuzi wa kutosha,hii ni nchi sio familia inayoendeshwa kwa mfumo dume.
hainukii ndio tayari hivyo imebaki tuvae jezi za aseno nchi nzimaTunaelekea kwenye udikteta kamili.
Ndiyo umesema nini hapa Mangi?Serikali ya kidikteta hua haijiamini
Inaelekeza watu hata jinsi ya kufanya sherehe and enjoy themselves...
Hii haijawahi tokea tangu uhuru serikali kupangia watu how to enjoy themselves kwenye sikukuu
Hii hofu yote inatoka wapi?
Hapa ni sherehe ya mwaka mpya,ni effectively saa kumi na mbili mkalale
Kitafuata kupangiwa muda wa kulala Tanzania nzima,kua say saa 3 kamili watu wote tuwe vitandani
Mtapangiwa muda wa kufunga na kufungua hotels
Mtapangiwa muda wa kwenda kanisani,nguo za kuvaa,gari gani uendeshe,mtoto wako asome shule gani na asome nini,etc
Udikteta ni sumu,ni ugonjwa ni kansa inakula seli moja baada ya ingine mpaka mwili mzima ufe..
Dawa ni kukata kiungo chenye kansa kisiambukize sehemu zingine
Mitano TENAAAAAA,Tanzania kama URAYAAAAAAAH
Good ideasi ilitakiwa waongeze ulinzi huko ili wananchi washerekee kwa amani!
Ni lazm kuambiwa kuna nn, kesho serikali ije awaambie mtaani kwenu wote msitoke nje kwa masaa 12 si lazima uulize kwnn mkae ndani.Huwezi kupewa taarifa za kiintelijensia kihivyo ndugu.. sisi Kama wananchi yatupasa pia kutii maagizo ya kiusalama.. huwezi ambiwa Kuna nini.
Sio kila kitu ni chakuambiwa kukiwa na tetesi za ugaidi unafikiri ukiwaambia watu wataenda kwenye hizo fukwe..? wao wanajua na ndio wanataarifa zaidi Sasa mkuu unataka kuleta ubishi usio na tija tu.Ni lazm kuambiwa kuna nn, kesho serikali ije awaambie mtaani kwenu wote msitoke nje kwa masaa 12 si lazima uulize kwnn mkae ndani.
[emoji23][emoji23]chaiNI SAHIHI KWA SABABU HUO NDIO MUDA MAJINI KURUDI BAHARINI
Rai kwa wananchi, hutaki hama nchiNini sasa hiki?
Tusiharibiane siku kabisa,watu tushajipanga kutoboa mpaka majogoo!Na tutakesha,shwain!Rai kwa wananchi, hutaki hama nchi
aaaa sawa endelea bishana na wakubwa[emoji23][emoji23]chai
Basi fuata sheria ya nchi uishi kwa usalamaTusiharibiane siku kabisa,watu tushajipanga kutoboa mpaka majogoo!Na tutakesha,shwain!