Mkesha wa maombi JF kuinusuru Bandari yetu isiuzwe

Mkesha wa maombi JF kuinusuru Bandari yetu isiuzwe

THE BROKER

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2014
Posts
743
Reaction score
915
Ngugu wana JF kama mnavyojua kesho ndio kesho, kama wabunge wataridhia mapendekezo ya Mkataba kati ya TZD na Dubai kuhusu ustawishaji wa bandari, maziwa etc. basi hiyo ndio rasilimali zetu hizo ndio hazitorudi tena mpaka mwisho wa ulimwengu huu.

Yaani miaka elfu moja baadae sisi tutakaojulikana kama mababu na mabibi wa karne ya 21 tutadharaulika na kulaumiwa sana na kizazi hicho kwa kutolinda rasilimali hii muhimu.

Kwa muktadha huo naomba kila mtu kwa imani ya dini yake aangushe maombi hapa mpaka Mungu atunusuru katika tanuru hili la moto lililowashwa na waarabu na kututumbukiza wa TZD.

Eeh Mwenyezi Mungu tunakuomba ikiwezekana kikombe hiki kituepuke. Amen
 
Ngugu wana JF kama mnavyojua kesho ndio kesho, kama wabunge wataridhia mapendekezo ya Mkataba kati ya TZD na Dubai kuhusu ustawishaji wa bandari, maziwa etc. basi hiyo ndio rasilimali zetu hizo ndio hazitorudi tena mpaka mwisho wa ulimwengu huu.

Yaani miaka elfu moja baadae sisi tutakaojulikana kama mababu na mabibi wa karne ya 21 tutadharaulika na kulaumiwa sana na kizazi hicho kwa kutolinda rasilimali hii muhimu.

Kwa muktadha huo naomba kila mtu kwa imani ya dini yake aangushe maombi hapa mpaka Mungu atunusuru katika tanuru hili la moto lililowashwa na waarabu na kututumbukiza wa TZD.

Eeh Mwenyezi Mungu tunakuomba ikiwezekana kikombe hiki kituepuke. Amen
Yule Malaika mvunaji na apite usiku huu kuwawahisha wanapostahili waovu wote wenye kusimama kinyume na matakwa ya wananchi.
 
dp-world-vector-logo-2021 (1).png

Karibuni Tanganyika DPWorld, muongeze ufanisi kwenye Bandari ya Salama.
 
Ngugu wana JF kama mnavyojua kesho ndio kesho, kama wabunge wataridhia mapendekezo ya Mkataba kati ya TZD na Dubai kuhusu ustawishaji wa bandari, maziwa etc. basi hiyo ndio rasilimali zetu hizo ndio hazitorudi tena mpaka mwisho wa ulimwengu huu.

Yaani miaka elfu moja baadae sisi tutakaojulikana kama mababu na mabibi wa karne ya 21 tutadharaulika na kulaumiwa sana na kizazi hicho kwa kutolinda rasilimali hii muhimu.

Kwa muktadha huo naomba kila mtu kwa imani ya dini yake aangushe maombi hapa mpaka Mungu atunusuru katika tanuru hili la moto lililowashwa na waarabu na kututumbukiza wa TZD.

Eeh Mwenyezi Mungu tunakuomba ikiwezekana kikombe hiki kituepuke. Amen
Nashauri viongozi wote wa dini kuandaa siku maalum kwa ajili ya maombi ya kuwashtaki kwa Mungu wote watakaohusika na kuibinafsisha bandari zetu. Waislam wasome albadir na wakristo wagonge kengele mara tatu kuashiria msiba na maombolezo dhidi ya wote watakaohusika,ardhi ifungue kinywa iwameze. Amina.
 
Back
Top Bottom