THE BROKER
JF-Expert Member
- Sep 10, 2014
- 743
- 915
Ngugu wana JF kama mnavyojua kesho ndio kesho, kama wabunge wataridhia mapendekezo ya Mkataba kati ya TZD na Dubai kuhusu ustawishaji wa bandari, maziwa etc. basi hiyo ndio rasilimali zetu hizo ndio hazitorudi tena mpaka mwisho wa ulimwengu huu.
Yaani miaka elfu moja baadae sisi tutakaojulikana kama mababu na mabibi wa karne ya 21 tutadharaulika na kulaumiwa sana na kizazi hicho kwa kutolinda rasilimali hii muhimu.
Kwa muktadha huo naomba kila mtu kwa imani ya dini yake aangushe maombi hapa mpaka Mungu atunusuru katika tanuru hili la moto lililowashwa na waarabu na kututumbukiza wa TZD.
Eeh Mwenyezi Mungu tunakuomba ikiwezekana kikombe hiki kituepuke. Amen
Yaani miaka elfu moja baadae sisi tutakaojulikana kama mababu na mabibi wa karne ya 21 tutadharaulika na kulaumiwa sana na kizazi hicho kwa kutolinda rasilimali hii muhimu.
Kwa muktadha huo naomba kila mtu kwa imani ya dini yake aangushe maombi hapa mpaka Mungu atunusuru katika tanuru hili la moto lililowashwa na waarabu na kututumbukiza wa TZD.
Eeh Mwenyezi Mungu tunakuomba ikiwezekana kikombe hiki kituepuke. Amen