Mkesha wa maombi JF kuinusuru Bandari yetu isiuzwe

Mnashindwa kuingia Barabarani mnakomaa na mikesha? Wanawake nyie
 
Uzi wa wala Rushwa akina King Msukuma. Ume futwa
 
[emoji23] Kwakweli tukeshe tu Maana hi ni kama Nyani[emoji205] wanafurahia kifo cha Mkulima kuwa hatowabugudhi wakila Mahindi na wanasahau kesho yataisha na hakuna wa Kulima tena
 
Hahahahaaa!
Tulishindwa kuombea loliondo, serengeti, madini yetu, wanyama wetu, nk nk.
Ijekuwa bandari! Acha nchi iuzwe!
 
Leo ni mkesha amkaa
bila kumjua adui yako ni nani, hata ukikesha wakesha bure. Walivyopitisha Azimio la Zanzibar tuliwachekea. Mie nalala mana yawezekana nakesha bure. Mpaka nipate 10 hivi wanaemjua adui harisi, nitakesha nao.
 
Hahahahaaa!
Tulishindwa kuombea loliondo, serengeti, madini yetu, wanyama wetu, nk nk.
Ijekuwa bandari! Acha nchi iuzwe!
Azimio la Zanzibar! tafakari ndipo tulipojikwaa. Hapa ni mwendo wa DEAL
 
Azimio la Zanzibar! tafakari
Mkuu, hapo mi sina cha kutafakari!
Tuliambiwa kuna siku nchi itapigwa mnada. Tukamuona aliyetuambia ni mbaya akajiuzulu. Tuliambiwa hii nchi imeliwa sana, aliyetuambia akachukiwa kila mahali hata baada ya kifo chake!
Acha nchi ibinafsishwe! Hata kama rais akiwa putin sawa tu! Tuna nini sasa kilichobaki ambacho tunamiliki 100%?
Ilihali Hotel za kifahari, visiwa, viwanda, maduka makubwa nk, ni vya wawekezaji!
 
The Broker! Unataka tukeshe tukiomba tuendelee kuwa mafukara!
 
Mikondoo ya nyuma ya keyboard ⌨️.
 
Uzi wa wala Rushwa akina King Msukuma. Ume futwa
Hata Uzi wa kuwasihi viongozi wa dini kuandaa siku maalum kwa ajili ya kuliombea taifa kwa kuwasomea albadir na kugonga kengele mara3 kuashiria msiba na maombolezo dhidi ya wote waliohusika kwenye mkataba huu wa kuibinafsisha bandari. Uzi huo umefutwa
 
Mungu awajaalie wapate kansa ya utumbo wasile walichotudhulumu.
 
Kichwa cha habari tu kinaonyesha uelewa mdogo wa mwandishi. Hakuna anayeuza bandari ni ukodishaji wenye lengo la kuboresha ufanisi.

Acheni hizi tafsiri potofu za kipuuzi, haziwasaidii chochote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…