Mzee wa upako amepwaya sanaGame kweli lime change, nakumbuka mwaka 2012 wakati bro gwaji anaingia kawe alikuwa anapiga mtu ile mbaya pale Tanganyika pacers, ila sasa hivi naona upepo kidogo umemkataa,, dambwe kwa sasa kalishikilia mwamposa, ila na yeye kama ni mpunga ndo apige mana upepo wake ukipita basi ajue tena basi asubiliena wengine,, kumbuka tulianza na mjomba kakobe, bro mzee wa upako, shangazi(marehemu rwakatale) etc..
Ila sio zinazoliwa na waganga njaaHuyu Mungu unayemuamini ndiye kaweka sadaka.
Ushawahi niona kwenye kilingeHuko kwenye vilinge hutoagi sadaka??..unapoambiwa upeleke kuku mwekundu huwa unadhani ni zawadi ile.
Sadaka ni ibada.
#MaendeleoHayanaChama
Umeenda kuomba watoe maelekezo niliyo kupatia...Huna lolote..get a job.
Kama unamtambua kristo mbona hamfuati maamlisho yake..tambua kuwa kristo ndio njia ya kweli na uzima..hakuna atakaye fika kwa baba bila kupitia kristo.
#MaendeleoHayanaChama
Yesu alimuabudu Mungu mmoja Muumba mbingu na nchi bila kumshirikisha na kitu chochote na mimi vilevile namuabudu huyo huyo sasa hapo jioni kama namfuata ?Huna lolote..get a job.
Kama unamtambua kristo mbona hamfuati maamlisho yake..tambua kuwa kristo ndio njia ya kweli na uzima..hakuna atakaye fika kwa baba bila kupitia kristo.
#MaendeleoHayanaChama
Nilishakuchanja chale za zako kwenye kilinge changu. Nakufahamu wewe jamaa.Ushawahi niona kwenye kilinge
muanzilishi wa masanamu ni allah , alituma majini kwa suleiman muislamu yakajenga msikiti na kuweka masanamuhapo chini mtu akimuabudu Maria na Sanamu linalo husihwa na yeye..