Pre GE2025 Mkiambiwa Mbowe hatoboi muwe mnaelewa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wewe unafikiri ni Jambo la busara kushindwa na MTOTO uliyemkuza?

Unafikiri CCM watakubali Washindwe na CHADEMA hata kama Kura zinaonyesha hivyo?
Haijalishi! Angalau itakuwa fursa ya wananchi kujua umeonewa kuliko ku'withdraw' maana watauliza kwa nini alijitoa. Mfano, kushiriki uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka huu kumewapa wananchi kujua kinachoendelea katika chaguzi zetu hapa nchini. Kama vyama vya upinzani visingeshiriki Kwa kuogopa kuibiwa kura wananchi wangevilaumu Kwa kutoshiriki. Ni heri kujaribu tukashindwa, maana utajua next time utafanya nini, kuliko kushindwa kujaribu.
 

Upo sahihi Kabisa Mkuu
 
Hata ukiwasikiliza Makamanda walio wengi ndani ya chama, wanasema ni wakati sasa wa Mh. Mbowe kupumzishwa nafasi yake ya Uenyekiti, kupitia sanduku la kura! kama amegoma kupumzika kwa hiyari yake.
Mwamba ni mpaka akiwa hawezi kabisa yaani mzee kikongwe yule wa kutambaa ndio ataachia kiti. Hii muweke akilini
 
sidhani, tiss watakubali ntu wao ashindwe? hii haitawezekana kamwe
 
Mbowe hapiganii ufalme wa mbinguni!
TAL anapenda mashindano sana,Tena ya kijinga!
Hicho chama hata apewe Bure,hakiwezi kukiendesha,badala yake atasababisha mauaji makubwa na vurugu kubwa sana kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.
 
KuleTLS, Lisu aliishinda Serikali, CCM pamoja na mgombea wao. Hivyo Lisu kumshinda Mbowe, haitakuwa ajabu hata kidogo.

Wacha tu Mbowe apumzishwe kwa sababu hakutaka kupumzika.
Nikupe upenyo utatoka wapi! Wajumbe wa mkutano mkuu wengi ni wachagga na wachagga kwenye mambo haya huwa hawatupani. Mbowe alihakikisha wachagga hata huko mikoani ndiyo wanakuwa wajumbe wa mkutano mkuu.

Nikupe Siri, wachagga huwa ni wanafiki, watakuchekea na kujionesha wanakuunga mkono, mwisho wa yote wanakuangusha katika sanduku la kura. Ilishatokea huko TLP enzi za Mrema.

Msimchukulie poa Mbowe. Ana uzoefu na anajua anataka nini.
 
Mbowe hapiganii ufalme wa mbinguni!
TAL anapenda mashindano sana,Tena ya kijinga!
Hicho chama hata apewe Bure,hakiwezi kukiendesha,badala yake atasababisha mauaji makubwa na vurugu kubwa sana kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.
Unaweza kuwa sawa! Ana mihemko ujue
 
Mkuu umeongea kwa ufupi sana. Unaweza kutupa fact hata moja tu?
 
Una facts au unaropoka tu mkuu?
 
Una facts au unaropoka tu mkuu?
Ila ni kweli, wajumbe wengi wapigakura ni wachagga.
 
Hata ukiwasikiliza Makamanda walio wengi ndani ya chama, wanasema ni wakati sasa wa Mh. Mbowe kupumzishwa nafasi yake ya Uenyekiti, kupitia sanduku la kura! kama amegoma kupumzika kwa hiyari yake.
Wakiziccm kura..?
 
Wewe hujui siasa za nchi hii, utashangaa saana hiyo 21st Jan.
 
Naunga mkono hoja ,ni busara zaidi FAM kung'atuka na kumuachia TL apeperushe bendera ,kama alivyofanya kipindi cha lowasa ilikuwa rahisi kumsafisha na kumuachia apeperushe bendera ,why sasa hivi ni vigumu kumuachia TL anayekubalika na jamii kwa manufaa ya jamii??(Na hii ndio maana ya democracy kwa ajili ya watu..

na akifanya hivyo kwa ajili ya watu wengi/jamii ambayo inaonesha inamkubali zaidi TL na ina imani zaidi na TL ..
FAIDA NI 2..1)ATANUSURU kutokutokea MPASUKO ataokoa jahazi lisizame 2)atapata heshima yake legacy ataaminika atakuwa ametekeleza kwa vitendo democracy wanayoihubiri.(Practice what you preach.)
 
Mbowe anategemea goli la mkono
 
Tutawashangaa sana CDM kama Maria Space na Clubhouse watawachagulia viongozi wenu.
Yaani mna miaka 30 na ushee umri wa chama chenu bado hamjajua mnataka kiongozi gani hadi mitandano iwachagulie??

Msituangushe watanzania, jicho letu kwenu, bado tuna imani chama chenu mtakiweka katika mikono salama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…