Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,957
- 26,414
Ume-comment kinyonge Sana bablaiSawa sasa mbona mnateseka na yanga? Nyie si timu sawa na madrid, mbona mnahangaika na yanga?
Nyie wakina Igwee waliwatia kitu cha moto ndani nje[emoji3][emoji3][emoji3]Baada ya kuzamishwa na makhirikhiri na kupoteana naona mmeanza kuibuka, sasa tunataka tuwazike mpotelee kuzimu huko.
Watu wa mtaani ndo hao hao wanaotumia mitandao , the same Simba ina watu pia mtaaniKwa hiyo hapo leo umeridhika kwa takwimu za mitandao, njoo mtaani na soma pia historia ya uhuru wa nchi yetu ndio utajua kwa nini Yanga ni timu ya wananchi wewe kolo mbwiga
huu ni UTOPOLO wa kiwango cha flyoverUnaposema ukubwa wa kitu ni kwenye nyanja nyingi lakini kwa leo nataka tuu tujikite kwenye mitandao ya kijamii. Hebu angalieni hapa chiniView attachment 2023992View attachment 2023993
Meanwhile.Aya sawa
Ndio maana sina muda wa kubishana nao haoMeanwhile.
Arsenal amewapiku idadi ya followers (twitter).
1. Liverpool
2. Chelsea
3. Mancheater
Sijui tusemeje hapa. πππ
Ujinga ni mzigo mkuu...vitu vingine ni vya kuviangalia kuviacha.Meanwhile.
Arsenal amewapiku idadi ya followers (twitter).
1. Liverpool
2. Chelsea
3. Mancheater
Sijui tusemeje hapa. [emoji16][emoji16][emoji4]
Kwahyo kwa sbb Arsenal wapo vibaya kwa sasa ndo inaitoa kwenye ukubwa wake? Au kupoteza mashabiki zake waaaminifu?Meanwhile.
Arsenal amewapiku idadi ya followers (twitter).
1. Liverpool
2. Chelsea
3. Mancheater
Sijui tusemeje hapa. πππ
Kwahyo kwa sbb Arsenal wapo vibaya kwa sasa ndo inaitoa kwenye ukubwa wake? Au kupoteza mashabiki zake waaaminifu?
Sawa mbumbumbuSio kwamba huna muda sema umekosa hoja nzito ya kuupinga ukweli
Mkuuu una maswali ya maudhi sana kwa mwananchi[emoji1787][emoji1787]We kama mwanayanga unachukuliaje swala la timu yako kuzidiwa na timu nyingine iihali nyinyi mnasema ni timu ya wananchi?
Aya sawaUkweli umeshaujua.