Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahhahahahaha...njaa mbaya...hvi why hizo experience zisifanyiwe modification zikawa zinatumika kwingin?...hhahhhaSuzani Wangari na Wangari Maathai, hawa ni ndugu.
Kuja hapaaaa..
Best mnatoka Mwanza Mpaka Zenji kufuata Magimbi?😝😝😝😝
Hii imetokea huko Kenya Mwizi huyo alijifanya anahitaji gari za kukodisha na kuelewana na mwenye magari, mwenye gari alienda kununua vocha ndipo mwizi huyo alipomuwekea madawa kwenye juisi aliyokuwa akinywa na kukosa fahamu
Mhanga huyo alienda kwa mganga kwa kuwa hakuwa na imani na polisi na mganga akamuambia atapeleka gari hilo kwa polisi mwenyewe
Mwizi huyo alijipeleka kituoni mwenyewe na gari likiwa na nyuki waliokufa lakini mwenye gari alisema hatamfungulia mashataka kwa kuwa amepata gari lake
Kenya waongo sana haoKENYA:
WAKUMBWA NA UGONJWA WA KUIMBA, WADAIWA KULA MAGIMBI YA WIZI
Watu Wanane wa Familia moja. wamejikuta wakiugua Ugonjwa wa ajabu huku wakiimba kwa Sauti ya juu kabisa nyimbo mbalimbali za Wasanii tofauti tofauti barani Afrika na Marekani baada. ya Kuiba Chakula cha Mwamba Mmoja ambaye hata hana dalili zozote za Kuwaonea Huruma jana, leo, kesho na mtondogoo. Mama wa familia, Susan Wangari amedai wamekuwa hivyo baada ya kula Magimbi yanayosadikiwa ni ya wizi. #motratvonline
![]()
Hii imetokea huko Kenya Mwizi huyo alijifanya anahitaji gari za kukodisha na kuelewana na mwenye magari, mwenye gari alienda kununua vocha ndipo mwizi huyo alipomuwekea madawa kwenye juisi aliyokuwa akinywa na kukosa fahamu
Mhanga huyo alienda kwa mganga kwa kuwa hakuwa na imani na polisi na mganga akamuambia atapeleka gari hilo kwa polisi mwenyewe
Mwizi huyo alijipeleka kituoni mwenyewe na gari likiwa na nyuki waliokufa lakini mwenye gari alisema hatamfungulia mashataka kwa kuwa amepata gari lake
Duu, kuna ugonjwa uliwahi kutokea Germany miaka 1500s (inajulikana kama dancing plague) ambapo watu walianza kucheza mziki pasipo kuacha, yani alianza mtu mmoja akaambukiza wengine mara mji mzima watu wanacheza mziki. Watu walikuwa wanasakata rhumba 24/7 mtu anaacha pale anapokufa. Yani watu walisakata rumba non-stop.KENYA:
WAKUMBWA NA UGONJWA WA KUIMBA, WADAIWA KULA MAGIMBI YA WIZI
Watu Wanane wa Familia moja. wamejikuta wakiugua Ugonjwa wa ajabu huku wakiimba kwa Sauti ya juu kabisa nyimbo mbalimbali za Wasanii tofauti tofauti barani Afrika na Marekani baada. ya Kuiba Chakula cha Mwamba Mmoja ambaye hata hana dalili zozote za Kuwaonea Huruma jana, leo, kesho na mtondogoo. Mama wa familia, Susan Wangari amedai wamekuwa hivyo baada ya kula Magimbi yanayosadikiwa ni ya wizi. #motratvonline
![]()